Bin Kisafuru
Senior Member
- Oct 4, 2018
- 109
- 161
Mungu anakuonaAngalia kwenye kioo utamjua anayekuchezea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anakuonaAngalia kwenye kioo utamjua anayekuchezea.
OkHapana ni nyanya
Sasa nitoe pole kwa huyo anaeotea elf 30 alaf anaenda kulewea.Mule mule ni pombe na mademu na kampani nakuwaga nayo ile mna toka alafu mnachanga kama mob ya watu 3 hivi alafu hapo kuna wale washkaji ambao hawana mchongo wa kueleweka ila wanaotea madili mara mojamoja sana.
Sasa unakuta siku hiyo mdau kaotea kama 30,000 hivi sasa sababu mara nyingi unampa bia zako, hiyo siku akipata kama hivi za kuotea nae anajishtukia anakushtua sasa mnapga vinywaji Kwa hiyo 30,000 yake ya mchongo.
Yake ikiisha unakuta kichwa bado hakijalewa sana na ndiyo tunasema ngoja kibunda kikitoka nitamshtua mbona yeye ana hela za kuotea ila ananishtua.
Hiyo siku kibunda kimetokea unamshtua mdauu huku ushapanga bajeti ila kinachitokea hapo sasa ndiyo yaleyaleeee.
Au niwe nakunywa mwenyewe naona kampani ndiyo za kipumbavu japo tunashea matumizi.
[emoji16][emoji16][emoji16]Sijaelewa:
1. Ukiziweka bank zinatokaje?
2. Ukiziweka kwenye safe inakuwaje?
3. Au ukizikalisha zinabiringita?
Fafanua,
#When you spend your money kwenye expenses zako, acheni mawazo ya kishirikina.
Mtu unalipwa 1.5m, una IST, kazini ni 24 Km return, service, kodi, chakula, school fee, hela ikae imekuwa maji?
Mnakosa financial education na nidhamu mnakimbilia kwenye kulogwa.
Zinapotea kwenye pombe na wanawakeNihakikishie kuwa huna anasa yoyote ili nikushauri.
Inategemea unagenerate kiasi gani versus matumizi yako. Isijekuwa unapata milioni kwa mwezi mzima halafu unaanza kulaumu chuma ulete ingali ukilamba kamshahara unapiga ulabu wa laki 2 siku ya kwanza tu ya mshahara. Make more moneyYani kabla ya mwisho wa mwezi nakuwa na mipango mingi sana tena ya maana mnoo. ila ukifika tu huo mwisho wa mwezi hela inavyopukutika sasa, hata sielewi.
Mitungi jamani mitungi jamani mitungiiiiiiiiiiiii aaaaagh.
Nakukuta tu balance niliyobaku nayo inatia huruma hapo ndo akili zinarudi hela yote ila nimetumia hivyo?
Eti wazee ni nini hiki?
Umeshasema mitungi Sasa nani amekuchezeaYani kabla ya mwisho wa mwezi nakuwa na mipango mingi sana tena ya maana mnoo. ila ukifika tu huo mwisho wa mwezi hela inavyopukutika sasa, hata sielewi.
Mitungi jamani mitungi jamani mitungiiiiiiiiiiiii aaaaagh.
Nakukuta tu balance niliyobaku nayo inatia huruma hapo ndo akili zinarudi hela yote ila nimetumia hivyo?
Eti wazee ni nini hiki?