Wazee nahisi kuna mtu amenicheza, nikipata hela hazikai

Sasa nitoe pole kwa huyo anaeotea elf 30 alaf anaenda kulewea.

Nirudi kwako.

Maisha ya siku hizi kila mtu alipe bill yake, mfn mm kwa vinywaj navyokunyw siwez share bill na mtu nikiend ktk starehe.. tutaumizana tu.

Kama ni zile pombe za mataputapu/Gongo pamj na Serengeti.. Kilimanjaro etc ni sawa ku share bill.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Inategemea unagenerate kiasi gani versus matumizi yako. Isijekuwa unapata milioni kwa mwezi mzima halafu unaanza kulaumu chuma ulete ingali ukilamba kamshahara unapiga ulabu wa laki 2 siku ya kwanza tu ya mshahara. Make more money
 
Achana na imani za kishirikina.
Huna bajeti inayolingana na kipato chako mkuu...
Weka bajeti kabla ya kupata maokoto ya aina yoyote ile, usisahau akiba ya kukusaidia wakati wa shida ...period
 
Umeshasema mitungi Sasa nani amekuchezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…