Wazee naombeni msaada, mwili wangu unatoa sana jasho tiba ni nini?

Wazee naombeni msaada, mwili wangu unatoa sana jasho tiba ni nini?

Chief Kumbyambya

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
719
Reaction score
2,408
Nikitembea tu kidogo jasho kibao hata kama kuna baridi vipi. Mfano kukiwa na baridi yani ile baridi haswa naweza nikatembea fresh tu ila nikifika tu sehem nilipokua naelekea labda dukani au sehemu yoyote nikisimama tu jasho hizoo zinaanza kutiririka tena nyingi tatizo linaweza kuwa ni nini?

Nikiendaga mikoa yenye joto kama Dar es salaam ndiyo balaa hata nikae muda mrefu vipi kwamba labda mwili utakua umezoea lakini wapi yani huko ndiyo natembeaga huku najifuta futa mpaka leso yote inaloa chapa chapa.

Mwili wangu ni wa kawaida tu wala sio mnene kabisa mpaka naona sasa hili lishakua ni tatizo. Najua humu kuna wataalam mtanisaidia namna ya kufanya. Kiukweli sijisikii vizuri na hii hali. Tatizo laweza kuwa nini wazee? Na nifanyeje kupambana na hii hali?
 
Nikitembea tu kidogo jasho kibao hata kama kuna baridi vipi. Mfano kukiwa na baridi yani ile baridi haswa naweza nikatembea fresh tu ila nikifika tu sehem nilipokua naelekea labda dukani au sehemu yoyote nikisimama tu jasho hizoo zinaanza kutiririka tena nyingi tatizo linaweza kuwa ni nini?

Nikiendaga mikoa yenye joto kama Dar es salaam ndiyo balaa hata nikae muda mrefu vipi kwamba labda mwili utakua umezoea lakini wapi yani huko ndiyo natembeaga huku najifuta futa mpaka leso yote inaloa chapa chapa.

Mwili wangu ni wa kawaida tu wala sio mnene kabisa mpaka naona sasa hili lishakua ni tatizo. Najua humu kuna wataalam mtanisaidia namna ya kufanya. Kiukweli sijisikii vizuri na hii hali. Tatizo laweza kuwa nini wazee? Na nifanyeje kupambana na hii hali?
Ugonjwa unaitwa Hyperhidrosis ingia Google soma na namna ya kukabiliana nayo
 

jasho linatoka hasa maeneo gani ya mwili.....je ni kwenye viganja vya mikono, ni kwenye nyao za miguu, ni usoni tu au ni wapi......?

Je huwa unapaka mafuta gani????....

..
 
Nikitembea tu kidogo jasho kibao hata kama kuna baridi vipi. Mfano kukiwa na baridi yani ile baridi haswa naweza nikatembea fresh tu ila nikifika tu sehem nilipokua naelekea labda dukani au sehemu yoyote nikisimama tu jasho hizoo zinaanza kutiririka tena nyingi tatizo linaweza kuwa ni nini?

Nikiendaga mikoa yenye joto kama Dar es salaam ndiyo balaa hata nikae muda mrefu vipi kwamba labda mwili utakua umezoea lakini wapi yani huko ndiyo natembeaga huku najifuta futa mpaka leso yote inaloa chapa chapa.

Mwili wangu ni wa kawaida tu wala sio mnene kabisa mpaka naona sasa hili lishakua ni tatizo. Najua humu kuna wataalam mtanisaidia namna ya kufanya. Kiukweli sijisikii vizuri na hii hali. Tatizo laweza kuwa nini wazee? Na nifanyeje kupambana na hii hali?
Nipigie simu 0626088398 nikupe ushauri!
 
Mfumo wako wa kupoza mwili unafanya kazi sana.

Ukisimama hewa haikaushi tena jasho linalotoka ndio linaanza kutiririka.... kwa maeneo kama dar sababu ni unyevumwingi inakuwa vigumu kwa jasho kuvapour
 

jasho linatoka hasa maeneo gani ya mwili.....je ni kwenye viganja vya mikono, ni kwenye nyao za miguu, ni usoni tu au ni wapi......?

Je huwa unapaka mafuta gani????....

..
Ni jasho la mwili mzima linaanziaga kwenye paji la uso, usoni kwenyewe, shingoni, na kifuani, tumboni, mgongoni na kote huko kwingine kasoro kuanzia mapajani kuelekea miguuni tu. Mafuta napaka ya mgando tu lotion niliacha kitambo sana baada ya kuona nikipaka ndo nasweat zaidi alafu usoni inanifanya nafikinya fikinya sana macho yani yanakua yanauma. yani nikipaka lotion baada tu ya muda kidogo lazima nikanawe uso ili kuitoa sababu ya macho kuuma
 
Umenikumbusha mbali sana kunajamaa alikua maji yake anayo oga nilazime atie barafu ndani yake ilikuyafanya yawe baridi lakini akitembea sehemu hata dakika20 jasho linamwagika sana.
Hivyo basi yule jamaa ilikua kwauchache anaoga ×5 au 6 kwasiku.
 
Nikitembea tu kidogo jasho kibao hata kama kuna baridi vipi. Mfano kukiwa na baridi yani ile baridi haswa naweza nikatembea fresh tu ila nikifika tu sehem nilipokua naelekea labda dukani au sehemu yoyote nikisimama tu jasho hizoo zinaanza kutiririka tena nyingi tatizo linaweza kuwa ni nini?

Nikiendaga mikoa yenye joto kama Dar es salaam ndiyo balaa hata nikae muda mrefu vipi kwamba labda mwili utakua umezoea lakini wapi yani huko ndiyo natembeaga huku najifuta futa mpaka leso yote inaloa chapa chapa.

Mwili wangu ni wa kawaida tu wala sio mnene kabisa mpaka naona sasa hili lishakua ni tatizo. Najua humu kuna wataalam mtanisaidia namna ya kufanya. Kiukweli sijisikii vizuri na hii hali. Tatizo laweza kuwa nini wazee? Na nifanyeje kupambana na hii hali?
Kapime TB mkuu zipo aina nyingi sanaa
 
Umenikumbusha mbali sana kunajamaa alikua maji yake anayo oga nilazime atie barafu ndani yake ilikuyafanya yawe baridi lakini akitembea sehemu hata dakika20 jasho linamwagika sana.
Hivyo basi yule jamaa ilikua kwauchache anaoga ×5 au 6 kwasiku.
Hii hali inatesa sana mbaya zaidi utakuta mpaka mtu anakuuliza we mbona unasweat hivyo? Unabaki unajishangaa tu hata wewe mwenyewe maana inakua ni zaidi ya kawaida
 
Ni hali ya zaidi ya miaka kumi inamana tb inaweza kukaa mwilini muda mrefu hivyo bila madhara zaidi ya hayo?
Sasa unataka ushauri au unataka kukimbia reality ? Kupima kuna shida gani labda ya damu au mifupa ikijotokeza utakuta sugu haitibiki.....kuna aina nyingi sana....
 
Back
Top Bottom