Wazee naombeni msaada, mwili wangu unatoa sana jasho tiba ni nini?

Pole sana.

Kutokwa jasho sana hata ktk hali ya ubaridi ni ishara kwamba kuna kitu hakiko sawa mwilini mwako.

Kuna visababishi vingi mfano shida ktk tezi ya dundumio (thyroid gland disorders).

Kwa TB kutokwa jasho pekee haitoshi kusema kwamba una TB bali kuna dalili zingine ambazo huambatana na hiyo kutokwa jasho sana hasa usiku.

Kwa hiyo fika hospital kwa daktari ujieleze na atakufanyia uchunguzi ili kuweza kubaini chanzo cha tatizo lako na kutibiwa ipasavyo.
Kila lakheri.
 
Mzee vip kwa hio ulitaka utoe wese la kupikia au petroli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…