Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Aliekufaa kafaa...japoo wakili kaonekana kabisa anambeba lulu but no way wamuachie tu mtoto wa watuu japo sio fair kwa Mama Kanumba ilaa maisha lazima yaendelee
Pia kwa jaji mwenye "akili" anaweza kutumia fursa hii kutoa fundisho kwa jamii, kila mtu karibu anamjua lulu, hivyo akipewa adhabu kali hadi watoto watajua kuwa wakifanya hiki basi hiki chaweza tokea.
Iko mikononi mwa jaji sasa hii.
 
Hivi baraza la wazee ndo jury??
 
Toka mwanzo ilijulikana wapi? mie nilijua marehema alianguka mwenyewe, toa ushahidi tuelewe.
 

Taratibu mkuu.
Ushahidi wa Mazingira. Na tena usisahau hoja kuu kuua bila kukusudia!. Subiri maelezo ya Jaji kwenye hukumu na bado atakuwa na nafasi ya Kukata rufaa
 
Acha tu! Hivi Kanumba alifanyiwa hata autopsy?
 
Taratibu mkuu.
Ushahidi wa Mazingira. Na tena usisahau hoja kuu kuua bila kukusudia!. Subiri maelezo ya Jaji kwenye hukumu na bado atakuwa na nafasi ya Kukata rufaa
nakubaliana nawe hukumu ipo kwa jaji sio wazee wa baraza,ila huo ushahidi wa kimazingira ni upi?elewa hakuna eye witness kwenye ile kesi kwa hiyo ripoti za doctor,foresinc zingetoa mwanga zaidi kuhusiana na kesi hii,sasa unaposema mazingira una maanisha nini?
 

Mazingira i.e Mwenedo wa Mtuhumiwa kabla na baada ya tukio
 
Seth alikua chumba cha pili na ametoa ushahid kwamba aliwasikia wanakimbizana na kupigana then akaja kuitwa Kanumba ameanguka!au unamaanisha nini?
 
Du leo nimekulike, kwa kweli tangu nimeanza kusoma post zako ambazo huwa zinakera, leo umemwaga point sio upupu unaoandikaga.
 
Kweli ila mashahidi wengi walijikanganya kanganya tu
Na uzuri wa makosa ya jinai ni kuwa anayetakiwa kuthibitisha kosa kutendeka na kuwa mtuhumiwa ndiye aliyetenda kosa hilo bila kuacha shaka yoyote ni upande wa mashitaka. Upande wa utetezi kazi yao kubwa ni kuonesha tu kwa ushahidi unaotolewa unaacha mashaka.
 

Aliyekuambia Kanumba alikufa kwa kipigo nani? Alikufa kwa kuanguka na kupata concussion.
 
Nkanini MAZINGIRA YA KIFO AMEYAELEZEA MWENYEWE LULU, KWA HIYO MAELEZO YAKE NDIYO YALIYOBADILI MWENENDO KUTOKA KUUA KWA KUKUSUDIA KWENDA KUUA KWA KUTOKUSUDIA.

NAAMINI WAZEE WAMEMSHANGAA KWAMBA ILIKUWAJE MPAKA KANUMBA BAADA YA KUANGUKA NA KUZIMA, WAKATI SETHI ANAFANYA MPANGO WA KUMPELEKA HOSP YEYE (LULU) AKAWA NA MOOD YA KUDRIVE KWENDA COCO BEACH KULA UPEPO WAKAT MPENZ WAKE HATIMA YAKE HAIJULIKAN? TUKISEMA ALIJUA KINACHOENDELEA TUNAKOSEA?
..
 
Rejea kwenye penal code au CPA, kuua bila kukusudia inaweza kumgharimu had kifungo cha maisha.
Anyway tusubirie verdict na busara za mahakama na jaji husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…