GOODLUCK MTWEVE
New Member
- Oct 26, 2017
- 2
- 0
hakuna kitu kama ichoAisee miaka 15 ina muhusu kwaher lulu tulikupenda lakin nyampara wamekupenda zaid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna kitu kama ichoAisee miaka 15 ina muhusu kwaher lulu tulikupenda lakin nyampara wamekupenda zaid
Mkuu pamoja na haki hiyo,elewa jaji ana uwezo wa kutoa hukumu na akatoa sababu kuwa hakuna mahakama nyingine ambayo inaweza kufikia uamuzi tofauti kwa hiyo haki inakuwa haipo na elewa ni jaji aliyetoa hukumu ndiye anayetoa ridhaa ya rufaa.Nkanini RUFAA (APPEAL) NI HAKI, NA HAKI HAITOLEWI NA MTU, IPO KISHERIA. HVYO KAMA LULU ATAFUNGWA ANAYO HAKI YA KUKATA RUFAA HATA KAMA JAJI HATOSEMA.
RUFAA NI HAKI YAKO POPOTE PALE.
ILA 'JUDICIAL REVIEW' SIYO HAKI.
Nadhan bado kaongea upupu ila wewe hujaugunđua tu,hamna kifungo cha nje ktk kosa LA kuua Bila kukusudiaDu leo nimekulike, kwa kweli tangu nimeanza kusoma post zako ambazo huwa zinakera, leo umemwaga point sio upupu unaoandikaga.
Nadhan bado kaongea upupu ila wewe hujaugunđua tu,hamna kifungo cha nje ktk kosa LA kuua Bila kukusudiaDu leo nimekulike, kwa kweli tangu nimeanza kusoma post zako ambazo huwa zinakera, leo umemwaga point sio upupu unaoandikaga.
serious case hakuna faini ni kifungo tuAisee..kifyngo kinamuhusu unless Abahatike kutozwa faini tu!! M'MUNGU AMFANYIE WEPESI!!
UONGOAisee miaka 15 ina muhusu kwaher lulu tulikupenda lakin nyampara wamekupenda zaid
Wewe ulidhani mahakama ina cha Bahati mbayaDaaah! Kumbe hata bila kukusudia bado hauponi kwenye mkono wa adhabu?
DuhhhANAKULA MVUA KADHAA JAIL...........................
Ila yeye alibisha alisema yeye ndiyo aliponea Tundu la sindano kurestishwa in pisi ikabidi akajiliwaze la upepo koko bichiMkuu toka mwanzo ilikuwa inajulikana kuwa aliua bila kukusudia..hao wazee wametimiza wajibu wao tu!Jaji ndo atatoa maamuzi ya kumwachia,faini au apigwe mvua!kikubwa jaji ataangalia mambo mengi sana...umri,ugonjwa wa kanumba,pombe..nk...ila kwa mawazo yangu mm ..atatemwa au faini!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] daahhhTatizo wanasheria siyo wambea labda uwaite akina carbamazepine,Sakayo,geniveros na mbize waje kutuambia hukumu itakuwaje!![emoji53][emoji53][emoji53]
Kivip mkuuAttitude inaweza kuwa imemponza
kiufupi wameleta ushahidi wa dokta wa tiba asili...mke wa slaaasiye Dr na aliyeshindwa kuja kortini kwamba alimpima Kanumba akakuta sumu
Uko sahihi, nilimaanisha mtu arejee kote huko apate picha kwa upana wake.CPA gaihusiki na adhabu,ni mwenendo wa kesi tuu,sema Penal code kifungu 195 na 198.
Nani Kakwambia Atakaa Jela Huyo Bint Huyo Hata Mlango Wa Jela Hatoujua,, Nadhani UmenielewaWatampiga miaka kadhaa!
Rufaa ndio itamchoropoa gerezani.
Mpaka wanamcholopoa atakuwa ameshajipatia shida za kutosha
Kuua ndiyo huko huko kusababisha kifo hatuwezi kusema umeua kama haujasababisha kifoKunakitu sijaelewa hapa kisheria, je aliua au alisababisha kifo? mimi najua kuna kuua na kusababisha kifo, mfano unapomchoma mtu kisu kwa kujihami ili asikudhuru, hiyo ni kuu bila kukusudia, lakini unapo jaribu kujitetea ili usidhurike kisha ukamsukuma mtu akaanguka na kujigonga kisha baadae akafa hapo ni kusababisha kifo. Wanataaluma mliobobea hebu nisaidieni hili.
Kuua ni kufanya kitendo cha kutoa mtu uhai, na kitendo hiki hata mtu asipokufa bado unashtakiwa kwa kosa la kutaka kuua ( aijalishi kwa kukusuduia au kutokusudia)
Kusababisha kifo ni kufanya kitendo au jambo ambalo litasababisha mtu kudhurika kisha kufa, kwa hili bahati nzuri mtu asipokufa panakuwa hakuna kosa wala kesi.
mkuu hebu elewa basi..kwa mfano mimi na wewe tukawa tunagombana kwa kurushiana maneno..sijakugusa..lakini nikakusababishia mshituko ukadondoka ukafa...hapo kosa ninalo..la kuua bila kukusudia..its that simple..Lulu na mdogo wa kanumba wamesema wote kwamba kulikuwa na ugomvi kati ya lulu na kanumba...mbona ni simple kuelewasasa hiyo ripoti ina m link vipi na Lulu?acha jazba tujadili hoja hapa ,kuumia huko kwa Kanumba wewe umekuhusisha vipi na mtuhumiwa?je kulikuwa na murder weapon(s) kwenye eneo la tukio?vielelezo vya vilivyotokea pale vipo wapi?na self defence ya mtuhumiwa imeifikiria hapa,je history ya marehemu towards mtuhumiwa ilikuwepo mahakamani?please ebu angalia wenzetu wanavyochunguza na kuendesha kesi za namna hii.