la cezz
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 314
- 264
Mm nina rafiki yangu alikuwa amelewa akampiga na jiwe mguuni baba mmoja jirani yao yule mzee alipelekwa hospitali akafariki dunia, kesi ikaenda mahakamani ikaonekana jamaa aliua bila kukusudia akafungwa miaka 5 jela. Now yupo uraiani.
Inawezekana kwa lulu ikawa hivyo au chini ya hapo.
Inawezekana kwa lulu ikawa hivyo au chini ya hapo.