Wazee wa Kataa ndoa na kitabu cha The Manipulated Manby Esther Vilar (1971) wamenifikirisha Sana

Hicho kitabu kinasikitisha mno, hakika mwanaume ameumbiwa mateso
Tumeumbwa Matesoo kuhangaika ..🎵🎶🎶🎼🎶
Kwa sauti ya Marehemu TX Moshi William na Msondo ngoma Jazz wote.
 
Kwanza tujue huyu mwandishi wa kitabu hiki aliliolewa na kuzaa watoto au alizaa watoto na masela akaachiwa alee mwenyewe? Tujue pia anaamini na kuabudu dini gani isiyotambua umuhimu wa ndoa? Au kwao wanawake hutunza waume zao? Na je anasemaje kuhusu mahusiano ya kimapenzi kati ya mwanamke na mwanaume hufanyikaje?
 
Kwanza ulizia ni raia wa nchi gani.
Jibu: Germany
Pili ulizia utamaduni wa kuheshimu ndoa na kuheshimu wanawake upoje huko nchini kwao?
 
Kwa msingi huu huwezi kuepuka kuwa manipulated.

Kwa sababu hata kuzaliwa kwako hujachagua umejikuta umezaliwa kwa raha za watu wengine tu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…