BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Huyo ni Wakili Msomi sio NIGGA.Let's hear what my nigga Nyani Ngabu has to say about this.
NIGGA ni wahuni wa uRaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni Wakili Msomi sio NIGGA.Let's hear what my nigga Nyani Ngabu has to say about this.
Hongera Kwa kuwa kubwa la manusu a.k.a nusu albinooYanini
Nimeipenda hiiNdugu zangu kuna siri imejificha miongoni mwa wanawake ambao ni walimu , kuna namna hata kama kazaliwa mwaka 2000 anakua tofauti na hawa watoto wa penda pesa, vinguo vya hovyo na tamaa kedekede.
Kuna namna ukidate hata na mwanamke mwalimu awe kaajiriwa, kajiajiri au hajaajiriwa au yupo chuoni anasomea masomo ya ualimu kuna mazingira ukipita nae unaona kabisa hapa nipo na mwanamke chuma kweli kweli tena anayejitambua sana, moyo unakushuhudia kabisa hawa ndio wake wa kuoa.
Wanawake walimu wametofautiana san kimaadili na hawa wanawake wengine , wanajua wanachokifanya na mara nyingi hawafanyi kitu kwa kukurupuka, ukikaa ukatuliza akili utaona kabisa hapa amefanya hivi baada ya kufikiria sana
Ukidate / kuoa mwanamke mwalimu anajua kabisa wewe unatakiwa ufundishwe hata kama mwanaume una akili kuna namna ukiyapiga picha mahusiano yenu utaona mahusiano yenu /ndoa yenu anaipeleka kama anaongoza darasa la wanafunzi wanaohitaji kujifunza ili wa elewe na wafanikiwe kufika mbele.
Wanawake walimu kuna namna wanakua na amri/ ukali wenye masikitiko ndani yake , hata kama umefanya jambo baya kuna namna atakuelekeza kwa upole ila ndani yake utaona kunatoka tone za amri na masikitiko zinazokutaka wewe uache kufanya uo ubaya unao hangaika nao kila siku
Wanawake walimu kuna namna hawapendi purukushani mbele za jamii, kuna namna wanaishi kwenye jamii ili kuwa mfano wa kuigwa kama walimu, kuna namna hata ukiwa nae kwenye mahusiano utaona tuu anajiweka katika mazingira ya kulinda heshima yake ili iweze kusomwa vyema na jamii.
Wanawake walimu ni wanawake wanao kwenda na muda na mahesabu makali, hawezi kufanya vitu nje ya muda wala nje ya mahesabu mliyokubaliana kuyafanya, utakuja gundua mahusiano yenu anayapeleka kwa muda na mahesabu makali sana kwaajili ya kulinda future za baadae.
Wanawake walimu ni walezi wazuri na bora watoto na familia, pia ni walezi wazuri wa mume anamchukulia mwanaume kama mtoto anayehitaji kufundishwa
Wanawake walimu ndani yao ukichunguza sana utagundua ndani yao hawana ubaguzi, hawachagui wanaume wa hali ya juu sana kiuchumi, wao wanapendelea sana wanaume wa kawaida na wacha Mungu, wanapendelea wanaume wanao jiheshimu na kujitambua ila wawe ni wanaume wa kawaida sana tena wenye uchumi mdogo.
Hata ukimwambia wewe ni mpambanaji, kinyozi, bodaboda, mfanya usafi, mlinzi, kibarua viwandani, mpiga tofali ni ngumu sana kukukataa kirahisi maana anaona wewe ni kama darasa lenye wanafunzi wanaofeli hivyo wanapaswa kusaidiwa kunyanyuka kwenda juu.
Ndugu zangu, wanawake walimu ni wake bora sana , haijalishi kazaliwa mwaka 2000 ila ni wanawake bora sana kuoa na kuwaweka ndani.
* Kataa ndoa hawakatai kuishi na mwanamke wanakataa ule mkataba wa ndoa utakao watia nguvuni, wanawake walimu wanaamini hata ule mkataba wa ndoa ni makaratasi tuu kama mitihani ya wanafunzi wanayo sahihisha kila semister/ midterm*
Sawa, huo ulazima kwa mantiki ipi??Kuwajibika lazima
Unasambaza ujinga tu kwa vijana , ndoa ni hitaji la asili kwa mwanadamu Kuna muda utafika utatamani tu.Mimi ni katibu mwenezi wa kataa ndoa, yaani nasambaza Sera zetu😂😀
We waite aidii zipo kibaoActive una ona Wana nianza😁, huyu Half american ni ndugu yangu ila ana nichokoza😀
Ngono ni hitaji la lazima, ndoa siyo hitaji la lazima kwa mwanadamu.Unasambaza ujinga tu kwa vijana , ndoa ni hitaji la asili kwa mwanadamu Kuna muda utafika utatamani tu.
Haka kama hujaoa ukipata watoto ni lazima wale,wavae wasome, watibiwe na kadhalika.Sawa, huo ulazima kwa mantiki ipi??
Nimeusoma uzi hu najikuta natokwa na machozi utafikiri nimeshikwa usoni na mikono yenye pilipili...😁😁😁😁😁Kama wewe umesikitika ndugu yangu Poor Brain atakuwa na hali gani?
Mjomba wangu na yeye hakijampita.View attachment 2976270😂😂😂😂 wajomba nao hawako nyuma
Dini zilianziabkwao na ndoa za kidini zianzia kwao anazijua kuliko wewe uliyeletewa. Kuhusu hayo mengine alimyazama mumewe na kuandika kitabuKwanza tujue huyu mwandishi wa kitabu hiki aliliolewa na kuzaa watoto au alizaa watoto na masela akaachiwa alee mwenyewe? Tujue pia anaamini na kuabudu dini gani isiyotambua umuhimu wa ndoa? Au kwao wanawake hutunza waume zao? Na je anasemaje kuhusu mahusiano ya kimapenzi kati ya mwanamke na mwanaume hufanyikaje?