Wazee wa Kataa ndoa na kitabu cha The Manipulated Manby Esther Vilar (1971) wamenifikirisha Sana

Nimeipenda hii
 
Unasambaza ujinga tu kwa vijana , ndoa ni hitaji la asili kwa mwanadamu Kuna muda utafika utatamani tu.
Ngono ni hitaji la lazima, ndoa siyo hitaji la lazima kwa mwanadamu.
Watu waliopo katika ndoa lazima wakubali mawazo mbadala na siyo ujinga kutofautiana mitazamo.
 
Dini zilianziabkwao na ndoa za kidini zianzia kwao anazijua kuliko wewe uliyeletewa. Kuhusu hayo mengine alimyazama mumewe na kuandika kitabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…