Wazee wa Kigoma wasimama na Zitto na kutoa tamko dhidi ta Spika na Bunge

Consigliere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
12,037
Reaction score
24,637
Baadhi ya wazee wa Kigoma siku ya leo mbele ya waandishi wa habari wametoa tamko kulaani vitisho vya mauaji vilivyotolewa ndani ya bunge na mbunge Bulembo. Bulembo alitoa kauli hiyo na kutoa wito wa zitto kuuawa kwani ni msaliti kwa nchi.
Kauli ya bulembo ilishangiliwa sana na wabunge wa CCM na Spika hakukaripia kauli hiyo kitu kinachoashiria kwamba wito wa zitto kuuawa na kauli rasmi ya bunge.

Fuatilia hapa;
Your browser is not able to display this video.
 
Kumbe ndio hawa waliochukua buku 5 kwa mujibu wa mdau mmoja ili wapigwe picha na AYO TV?
Bila Shaka unaweza kukuta wametia mimba vigoli wetu.
 
Kwani huyo Alhaj Bulembo ni dini gani maana dini nyingine kuuwa kwao ni swala la kawaida kabisa!
 
Kwani huyo Alhaj Bulembo ni dini gani maana dini nyingine kuuwa kwao ni swala la kawaida kabisa!
Msinasibishe dini na kauli za Alhaj Bulembo kwani unaweza kuwa Alhaj lakini mwisho wako ukawa kafiri kama ilivyokuwa kwa Iblis Laanatullah! Ndio maana tunatakiwa tuombe/tuombeane mwisho mwema (khusnil hatim)

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Mkuu ,unamhubiria mfuasi wa shetani anayefurahia wengine kuuawawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…