johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Living Water kwa nabii Ndegi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Living Water kwa nabii Ndegi!
Mimi ni mkristo bwashee!Kwahio wewe una amani sana akiuawawa
Vipi utasikia amani mama yako au baba yako akiuawawa, au zitto sababu sio ndugu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Waarabu kutamka kuuwa ni jambo la kawaida kabisa bwashee.Unaona ulivyo na akili fupi
Kila jambo unahusisha na dini na hivi leo jumapili mmeishadungwa sumu ya chuki dhidi ya uislam
Acheni roho mbaya
Huna aibu kwa unayoandika
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kauli ya kipuuzi kabisa kutolewa ndani ya bunge, hawa wabunge wa CCM wote wanastahili kwenda The Hague, wamejaa unafiki, kujipendekeza, wanabadilika uelekeo upesi kama upepo, sio wakuwaamini siku zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waarabu kutamka kuuwa ni jambo la kawaida kabisa bwashee.
Mimi sijamshangaa kabisa alhaj Bulembo.........Ningeshangaa kama maneno hayo yangetamkwa na mchungaji Msigwa au Baba Paroko Selasini!
Bwashee mbona povu jingi?Acha chuki endelea na siasa uchwara tu
Kama kuna ndugu yako kauwawa na muislam sawa ila kama ni propaganda za nje na mnavyofundishwa makanisani sawa
Ila mna chuki za kijinga sana
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hao ni njaa tu
Ajsante sana wazee wa kigoma kwa kuona mbali katika Hilo, hakika kauli ya bulembo Kama mbunge kutoa maneno Kama hayo Tena bungeni mbele ya spika wa bunge na spika kukaa kimya bila kuingilia Kati Ni dhahiri shahiri ya kwamba bunge linabariki kitendo hichoBaadhi ya wazee wa Kigoma siku ya leo mbele ya waandishi wa habari wametoa tamko kulaani vitisho vya mauaji vilivyotolewa ndani ya bunge na mbunge Bulembo. Bulembo alitoa kauli hiyo na kutoa wito wa zitto kuuawa kwani ni msaliti kwa nchi.
Kauli ya bulembo ilishangiliwa sana na wabunge wa CCM na Spika hakukaripia kauli hiyo kitu kinachoashiria kwamba wito wa zitto kuuawa na kauli rasmi ya bunge.
Fuatilia hapa;
View attachment 1344411
Mavuzi weweeKumbe ndio hawa waliochukua buku 5 kwa mujibu wa mdau mmoja ili wapigwe picha na AYO TV?
Bila Shaka unaweza kukuta wametia mimba vigoli wetu.
Bunge la Tanzania ni watunga sheriaKwani huyo Alhaj Bulembo ni dini gani maana dini nyingine kuuwa kwao ni swala la kawaida kabisa!
Walichosema Wazee kinaeleweka na ni sahihi. Huwezi kuitisha mauaji ya mtu amabaye ametoa hoja ya maneno. Hoja aipigwi rungu au mtoa hoja kuuwawa. Hoja hujibiwa kwa hoja.Kumbe ndio hawa waliochukua buku 5 kwa mujibu wa mdau mmoja ili wapigwe picha na AYO TV?
Bila Shaka unaweza kukuta wametia mimba vigoli wetu.
Mi nimekuelewa sana. Bulembo ni Muislamu jina tu kama ambavyo kuna wakiristo wanaitwa Emmanuel wakati hata kanisa hawalijui.Msinabishishe dini na kauli za Alhaj Bulembo kwani unaweza kuwa Alhaj lakini mwisho wako ukawa kafiri kama ilivyokuwa kwa Iblis Laanatullah! Ndio maana tunatakiwa tuombe/tuombeane mwisho mwema (khusnil hatim)
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Kauli ya kipuuzi kabisa kutolewa ndani ya bunge, hawa wabunge wa CCM wote wanastahili kwenda The Hague, wamejaa unafiki, kujipendekeza, wanabadilika uelekeo upesi kama upepo, sio wakuwaamini siku zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weeeeee ishia hapo hapo unamjua mzee kabwe?marehemu mama yake zitto alikuwa hai ndie alikuwa na mikoba sasa hivi zitto hamna kitu
Hata bashite ni MuslimWaarabu kutamka kuuwa ni jambo la kawaida kabisa bwashee.
Mimi sijamshangaa kabisa alhaj Bulembo.........Ningeshangaa kama maneno hayo yangetamkwa na mchungaji Msigwa au Baba Paroko Selasini!
Vp kuhusu yule mchungaji wako wa kisuli suli (Rwakatare) aliyekuwa akishangilia na kugonga madawati baada ya kutoka hiyo kauli?!Waarabu kutamka kuuwa ni jambo la kawaida kabisa bwashee.
Mimi sijamshangaa kabisa alhaj Bulembo.........Ningeshangaa kama maneno hayo yangetamkwa na mchungaji Msigwa au Baba Paroko Selasini!
Rwakatare alikuwa anamshangaa Alhaj Bulembo kutaka mkwewe ( Zitto) auwawe!Vp kuhusu yule mchungaji wako wa kisuli suli (Rwakatare) aliyekuwa akishangilia na kugonga madawati baada ya kutoka hiyo kauli?!
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD