Wazee wa Kwamsisi Handeni walitaka sado tatu za mate ya binadamu!

Mizimu ni nini na inaishi wapi?

Tambiko ni aina ya uganga wa kienyeji/ulozi na uganga wa kienyeji ni aina ya uchawi...

Hayo makololo uliyotaja ni sadaka ya kukamilisha.moja ya ibada ya kichawi iitwayo tambiko...
Watu walokufa zamani,, hata wewe ukifa unakua mzimu, in short roho haifagi kinachokufa ni mwili tu
 
Hapana siyo serikali bali ni washirikina wanajipeleka huko wakiamini watalinda nafasi zao au kupata uteuzi au kushinda chaguzi!
ni serikali, uchaguzi wa Mwaka 2015 Kijani walimtupa "Ma rope senior" kwenda naija kuleta mganga
 
Hao inahitaji wapigwe mijeledi ya kutosha
 
Serikali nayo inapenda kuendekeza vitu vya kipuuzi.
Hivi hawa wazee hawaoni kinyaa kutaka mate tena kwenye ndoo 😓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…