Atakuwa anavunja sheria mara kwa mara, inabidi tufunge na kuomba aiseeJamaa akirudi online nataka nimuulize huwa anafanya nini cha ajabu hadi anapigwa sana ban!
Ana matusi huyo ukichochora anga zake 😂Jamaa akirudi online nataka nimuulize huwa anafanya nini cha ajabu hadi anapigwa sana ban!
Twendeee basiNaomba lift
Twendeee basi
mpitie Rrondo niwakute stand hapo 🏃♂️Na mimi🥹
😂😂😂gari tu ndio wanipelekesha hivimpitie Rrondo niwakute stand hapo 🏃♂️
Unanikataliaje na huna plan B 😂😂😂😂gari tu ndio wanipelekesha hivi
Ila me ni nani nikukatalie boss wangu😂
Niko tayari boss wangu😌Unanikataliaje na huna plan B 😂
Amepona kweli looohSimiyu hiyo,mark X janaView attachment 2519879
Hakijatoka kitu hapoAmepona kweli loooh
Duuh RIPHakijatoka kitu hapo
Duh huo uharibifu lazima chombo ilikuwa mwendo mkali sanaSimiyu hiyo,mark X janaView attachment 2519879
Mark X full kipupwe, full mziki... Driver not very much experiencedDuh huo uharibifu lazima chombo ilikuwa mwendo mkali sana
Mwendo kasi haujawahi kuwa salama wakuu....tunawaacha wanaotutegemea kwenye ma,ingira magumu sana.Mark X full kipupwe, full mziki... Driver not very much experienced