Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Manufacturer wa vyombo vya moto wameweka variation ya speed kwenye speedometer wakijua kabisa hauta endesha kwa constant speed!!

Yaani umeilalamikia 50km/h kana kwamba barabara yote mwanzo mpaka mwisho wa safari yako huruhusiwi kuzidi speed hiyo.

Hebu taja maeneo ambayo unahisi zone ya 50km/h imewekwa kimakosa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…