Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Chaka kwa chaka 🛣️
7A4AA595-4BAA-481A-95CE-A1558D7DD548.jpeg
 
Manufacturer wa vyombo vya moto wameweka variation ya speed kwenye speedometer wakijua kabisa hauta endesha kwa constant speed!!

Yaani umeilalamikia 50km/h kana kwamba barabara yote mwanzo mpaka mwisho wa safari yako huruhusiwi kuzidi speed hiyo.

Hebu taja maeneo ambayo unahisi zone ya 50km/h imewekwa kimakosa..
 
Back
Top Bottom