Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Unakuta kala kamodo keusi akafuliwagi yani, alafu kakata chini.. kavaa na kakipedo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] na kafunga sound yake ya kupiga michiriku
Madogo watukutu plus usumbufu debe, kuna mmoja namuona kwenye rear view umbali kati yangu na yeye ni kama mita moja au mbili nikawaza hivi nikishika brake si itakuwa majanga.. mie huwa naangalia usalama kisha naruhusu apite aende zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…