National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Watu wa hivi wanakimbiza sana vyombo vya moto.. hata boda boda ukikuta kavaa ndala kaa nae mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa hivi wanakimbiza sana vyombo vya moto.. hata boda boda ukikuta kavaa ndala kaa nae mbali
Ni za nenda kwa Usalama RRONDO?Kuna mtu nilisikia anasema wameanza kuuliza ila kukamata bado. Tena zimepanda bei 5,000 badala ya 3,500.
Chuma bdo mpya kabisa mkuu
Nasubiri ukiichoka Gx 100 tukae meza ya kidiplomasiaOffshore Seamen umetisha kama mkwepu jr
Mwambie akanyage hadi rpm isome 6000 hadi makohozi yatatoka aiseeSa sikia
Tuitoe mafua
Twenzetu mpaka Bagamoyo ‘go and return.
Nakusubiri hapa kwa Ndevu
Wengine wanavaa kobazi afu kichwani wamesokota nywele aisee hawa ni watukutu wanapenya hadi unaogopa. Na wanapenda kuovateki upande wa kushoto.Watu wa hivi wanakimbiza sana vyombo vya moto.. hata boda boda ukikuta kavaa ndala kaa nae mbali
Hahaha, hapendi uduanzi.Ana matusi huyo ukichochora anga zake [emoji23]
Naamini mtu yeyote anayependa gari zenye kifua kipana lazima nyuma yake kuna historia ya Gx100 kama ilivyo sasa kwa Crown na Mark .
Naona kama amelivaa gari kwa nyuma.Amegongana na lori? Naona yuko pembeni upande wake
Halafu mtu akuazime gari badae unatumiwa picha gari yako ipo hivyo.Chuma kama imepigwa bomu vileView attachment 2520118
Unakuta kala kamodo keusi akafuliwagi yani, alafu kakata chini.. kavaa na kakipedo 😅😅😅😅 na kafunga sound yake ya kupiga michirikuWengine wanavaa kobazi afu kichwani wamesokota nywele aisee hawa ni watukutu wanapenya hadi unaogopa. Na wanapenda kuovateki upande wa kushoto.
Madogo watukutu plus usumbufu debe, kuna mmoja namuona kwenye rear view umbali kati yangu na yeye ni kama mita moja au mbili nikawaza hivi nikishika brake si itakuwa majanga.. mie huwa naangalia usalama kisha naruhusu apite aende zakeUnakuta kala kamodo keusi akafuliwagi yani, alafu kakata chini.. kavaa na kakipedo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] na kafunga sound yake ya kupiga michiriku
Vyedi kinyama niuzie hii boss