Daaah hadi GT-R alooo [emoji28]Mkuu wenyewe wanadai nchi imefunguka[emoji1787] sasa hivi A town watu wanatembelea magari sio vyombo vya usafiri. Kwa mfano LC 300 series plate alphabet E zipo kama uchafu sa hvi Kila Kona lazma utapishana nayo tu wakati 2020 LC 200 series nyingi zilikua STL, DFP huko [emoji1787]
Alafu ni vijana tu Yani imagine.Nchi imefunguka au upigaji wa wazi ndio umefunguka?
Ila haya maisha haya wakati wengine hata pikipiki changamoto mtu anabadilisha LC!
Yes mkuu nchi iendeshwe na vijana, wazee wote toa, ingiza generation ya vijana waibadilishe nchi yetuAlafu ni vijana tu Yani imagine.
Hahahah sawa kabisa [emoji110]Yes mkuu nchi iendeshwe na vijana, wazee wote toa, ingiza generation ya vijana waibadilishe nchi yetu
Mtoto anaipiga kirungu Howo kama hana akili nzuri
Kuna mdau anaenda, anaondoka sa 6 au 7 mchana.Anayeenda Dodoma kesho naomba anijuze tupande wote
Anayeenda Dodoma kesho naomba anijuze tupande wote
Niunganishe nae nimcheki sahiziKuna mdau anaenda, anaondoka sa 6 au 7 mchana.
Kama vijana wenyewe ndio hawa kina Makamba Jr, Kikwete Jr and co, basi usitegemee loloteYes mkuu nchi iendeshwe na vijana, wazee wote toa, ingiza generation ya vijana waibadilishe nchi yetu
No mkuu tunahitaji vijana wapya sio kutoka royal families, sitaafisha wote above 40yrs jeshi la police, itisha interview ya graduates nchi nzima, usaili then unabakiwa na 10,000, hawa ndio wataunda msingi wa jeshi la police, 1000 training USA, 500 UK,1500 Botswana (traffic officer's),800 canada hawa ni foresinc investigations, 1500 Israel hawa ni special unit to deal with hostage &terrorism, then after 2yrs tuna jeshi superKama vijana wenyewe ndio hawa kina Makamba Jr, Kikwete Jr and co, basi usitegemee lolote
Una akili sana umeongea point kubwa sanaNo mkuu tunahitaji vijana wapya sio kutoka royal families, sitaafisha wote above 40yrs jeshi la police, itisha interview ya graduates nchi nzima, usaili then unabakiwa na 10,000, hawa ndio wataunda msingi wa jeshi la police, 1000 training USA, 500 UK,1500 Botswana (traffic officer's),800 canada hawa ni foresinc investigations, 1500 Israel hawa ni special unit to deal with hostage &terrorism, then after 2yrs tuna jeshi super
Dada anacheza vizuri na RPM.
Kwa afya ya bi dada asiendeshe zaidi ya miaka 2.Mtoto anaipiga kirungu Howo kama hana akili nzuri
Mungu niweke hai dream zangu za road trip from Dar es salaam to Johannesburg zitimie.
Imepita K Matata..Ukirudi tutageuza wote to Dar...
Ila naomba niendeshe mimi tafadhali, wese na service juu yangu.
Imepita K Matata..
Ipo mwezi wa 9 mzeeMungu niweke hai dream zangu za road trip from Dar es salaam to Johannesburg zitimie.