Ukweli hiyo ina raha yake.. ila ngoja nitulie kwanza na hii style yangu.. hapo mbeleni nitafanya maarifa ya kuwa natembea na pisi yanguHapo mkirudi watu wanaulizia road trip ingine lini jamani...?
Hapa hujajitetea vizuri, kama ni inshu ya ajali mbona kuna ajali zinatokea uko peke yako lakini unakuta ajali inasomba na kijiji cha karibu. Kwani hujui?Dah! Hapana na mambo mengi sana natazama ambayo hayanipi nguvu ya kuwa ma zaidi ya mtu mmoja kwenye gari.. hata hajari nikiwa peke yangu nakufa peke yangu ila tukiwa kijiji kilio kinakuwa kikubwa zaidi😀😀😀
Mwezi wa pili huu nataka nipige Dar to Arusha. Arusha to Singida. Singida to Mwanza.. nitajaribu kusafiri na mtu 😀😀.. nione kama nitawezaHapa hujajitetea vizuri, kama ni inshu ya ajali mbona kuna ajali zinatokea uko peke yako lakini unakuta ajali inasomba na kijiji cha karibu. Kwani hujui?
We sema tu hupendelei companies za watu, me sister angu Dar to Moro peke yake hawezi ataomba escort tu na wewe utakaye escort utarudi kwa bus.
Safari imetulia, you'll enjoy 😍 ila peke yako sielewi uwaga unaenjoy vipi?!Mwezi wa pili huu nataka nipige Dar to Arusha. Arusha to Singida. Singida to Mwanza.. nitajaribu kusafiri na mtu 😀😀.. nione kama nitaweza
Na ndugu yangu alishabeba watu wenye smg kitambo kumbe jamaa walikuwa wazee wa kazi.. alipata taaabu sanaaaa hadi kuonekana hausikiHili neno.
Hujui tu 😀😀😀 , ukija jaribu chapa mwendo ukiwa peke yako utakuja nisumulia raha yakeSafari imetulia, you'll enjoy 😍 ila peke yako sielewi uwaga unaenjoy vipi?!
Ni somo zuri na naomba nilichukue litanisaidia siku zijazoWa vituoni mkuu uwe makini, utakuja kubeba mtu mwenye issue haramu.. mteseke bure
Kingine nakusifu una nguvu ya kuendesha. Mimi sasa hivi ikizidi 500km lazima nijipange la sivyo naahirisha.Mwezi wa pili huu nataka nipige Dar to Arusha. Arusha to Singida. Singida to Mwanza.. nitajaribu kusafiri na mtu 😀😀.. nione kama nitaweza
Usiku wanaogopa. Kitakachokuokoa usiku ni watoto au wanawake.Kuna siku nilala pake dumila minalani hadi asubuhi alafu peke yangu, kila gari nilikuwa naipiga mkono nisogee dumila center kuchukua fundi wanapita sijui walikuwa wanaogopa.. usiku hiyo ilikuwa saa saba. Ndio hatari pekee amabyo naonga ukiwa peke yako
Yeah milimani ni sehemu nzuri sana pa kuishi hata kule Mbeya kuna watu wamejenga na wanaishi milimani. Ila daah some mountains are just too high for Human settlements.Kama tungekuwa na mipango miji mizuri, milimani ni sehemu nzuri sana kuishi.
Kubeba mtu kwenye gari ambae humjui ni hatari tupuMimi hata kutoa lift hapa hapa town naogopa.
Kweli Ana nguvu lkn pia inawezekana udereva ndo kazi yake ya msingi na sio km wewe au mimi tunaendesha kwenda kazini na kurudiKingine nakusifu una nguvu ya kuendesha. Mimi sasa hivi ikizidi 500km lazima nijipange la sivyo naahirisha.
Kuna siku natoka Mwanza kwenye majira ya jioni nikapata abiria akielekea Dom, sijui alinionaje akaomba nimwachie aendeshe, nikamwambia dada hata kwa nusu km siwezi,wewe subiri ufike na si kingineKubeba mtu kwenye gari ambae humjui ni hatari tupu
Duh! Akuendeshe tena, huyo abiria wako wa ajabu sanaKuna siku natoka Mwanza kwenye majira ya jioni nikapata abiria akielekea Dom, sijui alinionaje akaomba nimwachie aendeshe, nikamwambia dada hata kwa nusu km siwezi,wewe subiri ufike na si kingine
Wa ajabu sana na ndo wale ukiwapa lift watataka kuwaombea lift na wengine au kukubadilishia radio stations na kupiga na honi kabisaDuh! Akuendeshe tena, huyo abiria wako wa ajabu sana
Ni sanaa ya kuutambua mwili tu mkuu, hakuna kingine. Pia nasafiri sana kwasababu nakaa mbali na kazi zanguKweli Ana nguvu lkn pia inawezekana udereva ndo kazi yake ya msingi na sio km wewe au mimi tunaendesha kwenda kazini na kurudi