Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Uko vzr mkuu... Morogoro road hiyoHii bila shaka ni Morogoro Road kama si Iringa road
Naijua ile imekaa pale sanaaaaEeh baba yenyewe kabisa. Chuma 4300cc kifuani!
Na ndo muda mandolin zinakuwa on high alert manake biashara inakuwa na volume kubwa sana usiku 😁 😁 😁Usiku safari inakuwa fupi sana..
1.8L ipi mkuu..! Actually dar mbeya haizidi 150 kwa 1zz... Sijajua yako ni ipiTotal kwangu ni best. Ila mafuta yake yanaungua kwa wepesi sana. Sio rafiki kwa Safari. Labda town trips tu.
Ndio maana napendelea Lake oil nikisafiri. Nimetoboa Dar-Mbeya na wese la 130K tu..with a 1.8L engine.
Mi huwa nabadili oil na filter na kuvua plugs...Last trip natoka Moshi niliweka NGK flani nilipiga full tank hadi nafika bongo nina wese half Tank. Likely kama zutu la elf 55 tu niko mjini with a 1.8L engine.Lazima ilijaa uchafu karibia kuziba
Gari nyingi ndogo full tank inatoboa Dar-Arusha. Kuepuka usumbufu unajaza tank tu
Total ni best mzee...Puma nina bad experience nao sana.Nishakutana na incidence za kutaka kuibiwa mafuta vituoni mwao na other issues na zikawa resolved peaceful either at the station level or HQ.Total at least naona wanajielewa sana na sijawah kukutana na major incidence kwao.
The same engine mzee, 1ZZ-FE1.8L ipi mkuu..! Actually dar mbeya haizidi 150 kwa 1zz... Sijajua yako ni ipi
Waliianziaga kitu kama 18. Million 😃😃😃Eeh baba yenyewe kabisa. Chuma 4300cc kifuani!
Puma sijawahi wapenda af mafuta yao naona kama machafu sijui au mazito sana. Gari inakuwa unhappy kabisa na naifeel. Guts zangu zinaniambiaga ile sio sheli salama kabisa. Niliwahi weka mara 2 tu kipindi flani kulikuwa na mgomo baridi baada ya Corona ku hit fuel prices. Sheli zote waligoma kuuza isipokuwa Puma tu.Puma nina bad experience nao sana.Nishakutana na incidence za kutaka kuibiwa mafuta vituoni mwao na other issues na zikawa resolved peaceful either at the station level or HQ.Total at least naona wanajielewa sana na sijawah kukutana na major incidence kwao.
Ukitaka ku save upotevu wa some gas wakati unaweka mafuta shell kama unaweza, refuel gari asubuhi au usiku wakati temperature ya environment ipo very low.Puma nina bad experience nao sana.Nishakutana na incidence za kutaka kuibiwa mafuta vituoni mwao na other issues na zikawa resolved peaceful either at the station level or HQ.Total at least naona wanajielewa sana na sijawah kukutana na major incidence kwao.
Watashuka tu mpaka 10M siku sio nyingi 😂😂😂 chuma iko juani tu hamna mnunuzi.Waliianziaga kitu kama 18. Million 😃😃😃
Nw days nadhan content ya mafuta yote nchini katika kila kituo inafanana manake sasa hivi wanatumia mfumo mmoja wa kuagiza mafuta nje wa Bulk procurement,for Total naona mafuta yakishafika wao wanaadd excellium kama wanavyojinasibu.Puma sijawahi wapenda af mafuta yao naona kama machafu sijui au mazito sana. Gari inakuwa unhappy kabisa na naifeel. Guts zangu zinaniambiaga ile sio sheli salama kabisa. Niliwahi weka mara 2 tu kipindi flani kulikuwa na mgomo baridi baada ya Corona ku hit fuel prices. Sheli zote waligoma kuuza isipokuwa Puma tu.
😁 😁 😁 At least ingekuwa diesel alafu manual. Kwenye hii awamu hata gari za 2500cc+ safari ya kuzimaintain mpaka mpaka 2025 itakuwa haina tofauti na kwenda Kalvari au Golgota.Watashuka tu mpaka 10M siku sio nyingi 😂😂😂 chuma iko juani tu hamna mnunuzi.
Unafanya mchezo na 4300cc za Petroli nn😂
Ngoja niiende kwa mganga, abane hivyo hivyo hadi ishueke ifikie 6 million.. maana nao jamaa wale wajinga sana , ukiepeleka gari yako wanaanziaga 5 million hata kama gari ina vakue ya 15 million na huwa kama wanaitia mikosi yani, huto iuza sehemu ingine hadi uirudishe pale 😀😀😀.. na mie naenda kuwachomea .. 😃😃😃.. iwe ngoma draw.. bado nauchungu niliuza gari yangu 7 million.. na huku nilitakiwa niuze million 18 au 17.. ila sijui waliitia nuksi gani, alafu madalali wote wakaijua.. ikawa kama tangazoWatashuka tu mpaka 10M siku sio nyingi 😂😂😂 chuma iko juani tu hamna mnunuzi.
Unafanya mchezo na 4300cc za Petroli nn😂
East umenichekesha sana-Na hizi mambo za gundu hata wenyewe kwa wenyewe wakikaaga utasikia wanaongea "Na tuone sana kama atauza" 😁 😁 😁 sikuelewa the reason behind itNgoja niiende kwa mganga, abane hivyo hivyo hadi ishueke ifikie 6 million.. maana nao jamaa wale wajinga sana , ukiepeleka gari yako wanaanziaga 5 million hata kama gari ina vakue ya 15 million na huwa kama wanaitia mikosi yani, huto iuza sehemu ingine hadi uirudishe pale 😀😀😀.. na mie naenda kuwachomea .. 😃😃😃.. iwe ngoma draw.. bado nauchungu niliuza gari yangu 7 million.. na huku nilitakiwa niuze million 18 au 17.. ila sijui waliitia nuksi gani, alafu madalali wote wakaijua.. ikawa kama tangazo
Jamaa ndio mchezo wao pale, ujichanganye upeleke gari yako.. utalia chozi la kiutu uzima.. utauza gari huku unaumia.. bei zao kununua ndio hizo milion tano, nne, sita 😀😀😀😀East umenichekesha sana-Na hizi mambo za gundu hata wenyewe kwa wenyewe wakikaaga utasikia wanaongea "Na tuone sana kama atauza" 😁 😁 😁 sikuelewa the reason behind it
Na wao wajiandae kuiuza hiyo milion sita 😀😀😀.. naenda wachomea utambi bado nahasira nao...East umenichekesha sana-Na hizi mambo za gundu hata wenyewe kwa wenyewe wakikaaga utasikia wanaongea "Na tuone sana kama atauza" 😁 😁 😁 sikuelewa the reason behind it
Kazi kwenu! Tatizo ubaoni zina 180kph dakika mbili tu umemaliza 180kph engine inakata! It's boring....nataka kitu uko 200kph engine bado inadai Kona hii hapa unarudi 100kph unaanza tena ikifika 190kph vibao vya 50kph vinaamza unarudi tena! Yaani unapata changamoto kuifikia speed fulani.Eeh baba yenyewe kabisa. Chuma 4300cc kifuani!
Sema we jamaa hiyo hiyo seriea unaipenda sana... Ipo kwenye gar gani mkuuThe same engine mzee, 1ZZ-FE