Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ngoja niiende kwa mganga, abane hivyo hivyo hadi ishueke ifikie 6 million.. maana nao jamaa wale wajinga sana , ukiepeleka gari yako wanaanziaga 5 million hata kama gari ina vakue ya 15 million na huwa kama wanaitia mikosi yani, huto iuza sehemu ingine hadi uirudishe pale 😀😀😀.. na mie naenda kuwachomea .. 😃😃😃.. iwe ngoma draw.. bado nauchungu niliuza gari yangu 7 million.. na huku nilitakiwa niuze million 18 au 17.. ila sijui waliitia nuksi gani, alafu madalali wote wakaijua.. ikawa kama tangazo
Duh 18m mpaka 7m pole sana
 
Kazi kwenu! Tatizo ubaoni zina 180kph dakika mbili tu umemaliza 180kph engine inakata! It's boring....nataka kitu uko 200kph engine bado inadai Kona hii hapa unarudi 100kph unaanza tena ikifika 190kph vibao vya 50kph vinaamza unarudi tena! Yaani unapata changamoto kuifikia speed fulani.
Na kweli 180 ni dk tu ipo full. Unaazna tafuta za ziada hazipo 😀😀😀😀.. na gari unaiuta imetulia bado inadai
 
Shida ndio iko hapa. Hata kama una haki, procedure za kuipata hio haki zinakatisha tamaa. Mfano umekamatwa kwamba hujalipa deni la faini limefika 60,000/- na ni kweli walikosea wakaweka namba ya gari yako kimakosa. Mpaka ijulikane ni kweli utakuwa umepoteza muda(pesa) mwingi sana.
Niliwahi kugongwa pale kwenye mataa ya St. Peter's, nikapigwa fine kwasababu nasababisha foleni.
 
Kazi kwenu! Tatizo ubaoni zina 180kph dakika mbili tu umemaliza 180kph engine inakata! It's boring....nataka kitu uko 200kph engine bado inadai Kona hii hapa unarudi 100kph unaanza tena ikifika 190kph vibao vya 50kph vinaamza unarudi tena! Yaani unapata changamoto kuifikia speed fulani.
Hivi najiuliza hamnaga namna ya ku calibrate speed na kufunga console mpya yenye gauges ya zaidi ya 180 kph! Maybe kufunga ile inayofika hata 300KPH?
It sucks kwa kweli gari ina mashine kubwa ila iko limited to 180KPH yan kiasi kwamba usiku mkali tokea round about ya Mlimani unajikuta umeshafuta 180kph kabla hata ya flyovers za Ubungo. Kile kipande huwa najiachiaga sana.
 
Kazi kwenu! Tatizo ubaoni zina 180kph dakika mbili tu umemaliza 180kph engine inakata! It's boring....nataka kitu uko 200kph engine bado inadai Kona hii hapa unarudi 100kph unaanza tena ikifika 190kph vibao vya 50kph vinaamza unarudi tena! Yaani unapata changamoto kuifikia speed fulani.
Na kweli, engine yenye 8 cylinder na C.c 4300 kuwa na 180 ni makosa sana basi tu wajapana wanatunyanyapaa
 
Na kweli 180 hamsini ni dk tu ipo full. Unaazna tafuta za ziada hazipo 😀😀😀😀.. na gari unaiuta imetulia bado inadai
Mtu akianzisha haka ka mchezo ka ku calibrate speed ya gari hasa za kijapani na kufunga Panels zenye speedometer kubwa hata walau za 300kph atatisha sana. Hela lazma zitamfuata kwa wingi.
 
Hivi najiuliza hamnaga namna ya ku calibrate speed na kufunga console mpya yenye gauges ya zaidi ya 180 kph! Maybe kufunga ile inayofika hata 300KPH?
It sucks kwa kweli gari ina mashine kubwa ila iko limited to 180KPH yan kiasi kwamba usiku mkali tokea round about ya Mlimani unajikuta umeshafuta 180kph kabla hata ya flyovers za Ubungo. Kile kipande huwa najiachiaga sana.
Gari inaweza loose stability.
 
Hivi najiuliza hamnaga namna ya ku calibrate speed na kufunga console mpya yenye gauges ya zaidi ya 180 kph! Maybe kufunga ile inayofika hata 300KPH?
It sucks kwa kweli gari ina mashine kubwa ila iko limited to 180KPH yan kiasi kwamba usiku mkali tokea round about ya Mlimani unajikuta umeshafuta 180kph kabla hata ya flyovers za Ubungo. Kile kipande huwa najiachiaga sana.
Nikiwaga bored.. naenda hadi riverside nageuza.. napita juu kule kwenye flyover na 180 nakujaga ipunguza karibia na TCRA 😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom