Wazee wa β€˜Road Trip’ mpo?

Duh 18m mpaka 7m pole sana
 
Na kweli 180 ni dk tu ipo full. Unaazna tafuta za ziada hazipo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.. na gari unaiuta imetulia bado inadai
 
Niliwahi kugongwa pale kwenye mataa ya St. Peter's, nikapigwa fine kwasababu nasababisha foleni.
 
Hivi najiuliza hamnaga namna ya ku calibrate speed na kufunga console mpya yenye gauges ya zaidi ya 180 kph! Maybe kufunga ile inayofika hata 300KPH?
It sucks kwa kweli gari ina mashine kubwa ila iko limited to 180KPH yan kiasi kwamba usiku mkali tokea round about ya Mlimani unajikuta umeshafuta 180kph kabla hata ya flyovers za Ubungo. Kile kipande huwa najiachiaga sana.
 
Na kweli, engine yenye 8 cylinder na C.c 4300 kuwa na 180 ni makosa sana basi tu wajapana wanatunyanyapaa
 
Na kweli 180 hamsini ni dk tu ipo full. Unaazna tafuta za ziada hazipo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.. na gari unaiuta imetulia bado inadai
Mtu akianzisha haka ka mchezo ka ku calibrate speed ya gari hasa za kijapani na kufunga Panels zenye speedometer kubwa hata walau za 300kph atatisha sana. Hela lazma zitamfuata kwa wingi.
 
Gari inaweza loose stability.
 
Nikiwaga bored.. naenda hadi riverside nageuza.. napita juu kule kwenye flyover na 180 nakujaga ipunguza karibia na TCRA πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…