Kuna mwana mmoja ana hiyo machine huwa kila nikikikutana nae ananisisimuaPorsche hiyo mzee baba..hiyo chuma hufuati hata ilipopitia.
German machine
Nilijua tu lazima yatokee macho ya kufika kwenye gauge 😆😆😆duh sister anakamua mafuta yamebaki kiduchu!
View attachment 1687796
Ni Porsche Cayenne hio,Bongo Cayenne zilizojaa ni non-turbo na hizi zinauzwa pesa ya kawaida tu huku be forward mfano Cayenne ya 2008 inauzwa $6,300 ila mchawi ni TRA tu.
Hizo Cayenne turbo ukikutana nayo hata usijisumbue kuifuata,mfano Cayenne turbo 2008 model hio ni twin-turbo,4.8l,V8,inatoa 500 horsepower.
Usijaribu kufuata moto wake.
TRA Wanakusalimia hapo juu.
Na pia Audi Q7,Touareg,Cayenne hao ni ndg wa damu.
Wahindi wakinunua utaambiwa wafanyabiashara.Kuna GT moja watoto wa Kihindi huwa wanaichezea huku Toure drive ni balaa. Jioni huwa I'm jogging along Toure drive hawa watoto mmoja ana Cayenne namba C, mwingine ana VX V8 nayo namba C huwa wanafukuzana. Porsche mbele VX inajokongoja nyuma. Wanaweza kunipita hata mara tatu.
Siku ambayo nilisema hela ni nyoko niliwakuta wamepaki mbele Cayenne,Infinity ile kama Y62 na hio VX V8 wanazikagua nikasema wacha tutafute pesa hata wajukuu wafanye hivi!
Landcruiser kwenye suala la speed hagusi pua kwa wajerumani.Kuna GT moja watoto wa Kihindi huwa wanaichezea huku Toure drive ni balaa. Jioni huwa I'm jogging along Toure drive hawa watoto mmoja ana Cayenne namba C, mwingine ana VX V8 nayo namba C huwa wanafukuzana. Porsche mbele VX inajokongoja nyuma. Wanaweza kunipita hata mara tatu.
Siku ambayo nilisema hela ni nyoko niliwakuta wamepaki mbele Cayenne,Infinity ile kama Y62 na hio VX V8 wanazikagua nikasema wacha tutafute pesa hata wajukuu wafanye hivi!
🤣 🤣 🤣 Kuna gari mkuu mtu mwenye mshahara pekee hawezi endesha ni either awe mfanyabiashara wa kueleweka,mwizi,ametoka kwenye rich family au amepewa zawadi tofauti na hapo 🙌🙌,ingawa TRA nao ni janga lingine 🤣Wahindi wakinunua utaambiwa wafanyabiashara.
Mtanzania ukinunua unaambiwa fisadi au muhujumu uchumi.
Kuna gari nataka kununua mbeleni, najua tu likitua bongo ntaitwa nikajieleze TRA hela natoa wapi.
Wahindi nawaonea wivu sana. Wanakula maisha bila kuhojiwa. Ule wewe mbongo, utaulizwa hela umetoa wapi ya kuishi kufuru hiyo.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
🙂🙂🙂🙂 Tatizo ni limiter mzee,tofauti na hapo vingeumana.Landcruiser kwenye suala la speed hagusi pua kwa wajerumani.
Sema tu wabongo wamekariri ila kiuhalisia hizi gari za toyota bhana sizikubali kabisa.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Lakini kiukweli Wahindi wanaomiliki magari haya wengi ni mabilionea. Na unakuta makampuni ndio yamenunua haya magari kwahio hata ukimuuliza unaambiwa gari hii ni ya Jandu enterprises na ukicheki hesabu za hio kampuni mwenyewe unatulia. Kama hesabu zako ziko vizuri unanunua tu majibu si utakuwa nayo.Wahindi wakinunua utaambiwa wafanyabiashara.
Mtanzania ukinunua unaambiwa fisadi au muhujumu uchumi.
Kuna gari nataka kununua mbeleni, najua tu likitua bongo ntaitwa nikajieleze TRA hela natoa wapi.
Wahindi nawaonea wivu sana. Wanakula maisha bila kuhojiwa. Ule wewe mbongo, utaulizwa hela umetoa wapi ya kuishi kufuru hiyo.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
You are very right. Na mkopo unaendana na mshahara.🤣 🤣 🤣 Kuna gari mkuu mtu mwenye mshahara pekee hawezi endesha ni either awe mfanyabiashara wa kueleweka,mwizi,ametoka kwenye rich family au amepewa zawadi tofauti na hapo 🙌🙌,ingawa TRA nao ni janga lingine 🤣
Diamond mwenyewe anakwambia ana struggle for years kununua Rolls Royce na anategemea kupewa sponsorship na management,It's not a joke,Thaman ya gari unakuta ni mtaji wa kiwanda tosha.Lakini kiukweli Wahindi wanaomiliki magari haya wengi ni mabilionea. Na unakuta makampuni ndio yamenunua haya magari kwahio hata ukimuuliza unaambiwa gari hii ni ya Jandu enterprises na ukicheki hesabu za hio kampuni mwenyewe unatulia. Kama hesabu zako ziko vizuri unanunua tu majibu si utakuwa nayo.
Kuwahi TotalMshale umelala hivyo nguvu ya kutembea 140kph inatoka wapi?
Nimefatilia RR used nyingi watuamiaji wanaziuza zikiwa bado mupya kabisaa, hata km zake unakuta ndogo sana around 7000Na asijiloge akanunua used.
Aseee... nipo mwanza nakula satoo.. soon nalianzisha to dar es salaam😃😃Weekend hii naweza kuzusha road trip naona VW kama imechoka kukaa mjini...
Watu wanaziogopa crown.. kama gari za zinazokimbia sanaa.. ila nishaona za kawaida sanaaa.. binafsi nimetumia hiyo gari hakuna kitu.. ila kukimbia inakimbia ila sio kama watu wanavyo ipa daraka la juu kiivyo.. maybe hiyo majesta V8 ila hizi Athlete bado sana kuziweka daraja moja na jerumani machineKwamba Crown haipitwi au?
Hata golf R haigusi hapo.. ujue Golf R zina 315hp 😃😃😃Porsche hiyo mzee baba..hiyo chuma hufuati hata ilipopitia.
German machine