Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

View attachment 1687796
Ni Porsche Cayenne hio,Bongo Cayenne zilizojaa ni non-turbo na hizi zinauzwa pesa ya kawaida tu huku be forward mfano Cayenne ya 2008 inauzwa $6,300 ila mchawi ni TRA tu.

Hizo Cayenne turbo ukikutana nayo hata usijisumbue kuifuata,mfano Cayenne turbo 2008 model hio ni twin-turbo,4.8l,V8,inatoa 500 horsepower.

Usijaribu kufuata moto wake.

TRA Wanakusalimia hapo juu.

Na pia Audi Q7,Touareg,Cayenne hao ni ndg wa damu.

Mkuu ule kuifuata huwezi, ilivyonipita ni kama kitendo cha kufumba na kufumbua. Few second ikawa imepotea machoni, kilichonikonga ni ile sound aiseee.

Itoshe kusema tutafute PESA.
 
Kuna GT moja watoto wa Kihindi huwa wanaichezea huku Toure drive ni balaa. Jioni huwa I'm jogging along Toure drive hawa watoto mmoja ana Cayenne namba C, mwingine ana VX V8 nayo namba C huwa wanafukuzana. Porsche mbele VX inajokongoja nyuma. Wanaweza kunipita hata mara tatu.
Siku ambayo nilisema hela ni nyoko niliwakuta wamepaki mbele Cayenne,Infinity ile kama Y62 na hio VX V8 wanazikagua nikasema wacha tutafute pesa hata wajukuu wafanye hivi!
Wahindi wakinunua utaambiwa wafanyabiashara.

Mtanzania ukinunua unaambiwa fisadi au muhujumu uchumi.

Kuna gari nataka kununua mbeleni, najua tu likitua bongo ntaitwa nikajieleze TRA hela natoa wapi.

Wahindi nawaonea wivu sana. Wanakula maisha bila kuhojiwa. Ule wewe mbongo, utaulizwa hela umetoa wapi ya kuishi kufuru hiyo.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Kuna GT moja watoto wa Kihindi huwa wanaichezea huku Toure drive ni balaa. Jioni huwa I'm jogging along Toure drive hawa watoto mmoja ana Cayenne namba C, mwingine ana VX V8 nayo namba C huwa wanafukuzana. Porsche mbele VX inajokongoja nyuma. Wanaweza kunipita hata mara tatu.
Siku ambayo nilisema hela ni nyoko niliwakuta wamepaki mbele Cayenne,Infinity ile kama Y62 na hio VX V8 wanazikagua nikasema wacha tutafute pesa hata wajukuu wafanye hivi!
Landcruiser kwenye suala la speed hagusi pua kwa wajerumani.

Sema tu wabongo wamekariri ila kiuhalisia hizi gari za toyota bhana sizikubali kabisa.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Wahindi wakinunua utaambiwa wafanyabiashara.

Mtanzania ukinunua unaambiwa fisadi au muhujumu uchumi.

Kuna gari nataka kununua mbeleni, najua tu likitua bongo ntaitwa nikajieleze TRA hela natoa wapi.

Wahindi nawaonea wivu sana. Wanakula maisha bila kuhojiwa. Ule wewe mbongo, utaulizwa hela umetoa wapi ya kuishi kufuru hiyo.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
🤣 🤣 🤣 Kuna gari mkuu mtu mwenye mshahara pekee hawezi endesha ni either awe mfanyabiashara wa kueleweka,mwizi,ametoka kwenye rich family au amepewa zawadi tofauti na hapo 🙌🙌,ingawa TRA nao ni janga lingine 🤣
 
Wahindi wakinunua utaambiwa wafanyabiashara.

Mtanzania ukinunua unaambiwa fisadi au muhujumu uchumi.

Kuna gari nataka kununua mbeleni, najua tu likitua bongo ntaitwa nikajieleze TRA hela natoa wapi.

Wahindi nawaonea wivu sana. Wanakula maisha bila kuhojiwa. Ule wewe mbongo, utaulizwa hela umetoa wapi ya kuishi kufuru hiyo.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Lakini kiukweli Wahindi wanaomiliki magari haya wengi ni mabilionea. Na unakuta makampuni ndio yamenunua haya magari kwahio hata ukimuuliza unaambiwa gari hii ni ya Jandu enterprises na ukicheki hesabu za hio kampuni mwenyewe unatulia. Kama hesabu zako ziko vizuri unanunua tu majibu si utakuwa nayo.
 
Lakini kiukweli Wahindi wanaomiliki magari haya wengi ni mabilionea. Na unakuta makampuni ndio yamenunua haya magari kwahio hata ukimuuliza unaambiwa gari hii ni ya Jandu enterprises na ukicheki hesabu za hio kampuni mwenyewe unatulia. Kama hesabu zako ziko vizuri unanunua tu majibu si utakuwa nayo.
Diamond mwenyewe anakwambia ana struggle for years kununua Rolls Royce na anategemea kupewa sponsorship na management,It's not a joke,Thaman ya gari unakuta ni mtaji wa kiwanda tosha.
 
Kwamba Crown haipitwi au?
Watu wanaziogopa crown.. kama gari za zinazokimbia sanaa.. ila nishaona za kawaida sanaaa.. binafsi nimetumia hiyo gari hakuna kitu.. ila kukimbia inakimbia ila sio kama watu wanavyo ipa daraka la juu kiivyo.. maybe hiyo majesta V8 ila hizi Athlete bado sana kuziweka daraja moja na jerumani machine
 
Back
Top Bottom