Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hapendi private.,..bata la mwaka jana kwenye treni limemzingua
 
mm nitapitia Makau mapya Arusha, pale kuna samaki watu wa chap chap, Babati nitampoteza jamaa ngoja nikamdondoshee Dodoma kwa Wabunge wa Covid 19 najua ndio level yake akimaliza mwaka atinge zake Dar
Huu uzi unanipa data za machimbo muhimu
 
Mkuu[emoji28][emoji28] sikua na uhitaji wa private cars kwasababu zipo za kutosha nyumbani. Mimi tamanio langu ni kuexperience usafiri wa treni na basi maana nilipata wivu ile last dec. Halaf kwenye mabasi naenjoy new company jamani. Marafiki wapya. Nilipataga mchumba huko wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2088][emoji2088] Aru-Dar. Sasa ukiwa na wazazi si hamna raha kihivyo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila nataniaa. [emoji23]
 
Ndioi[emoji23]
Nayataman sana maisha ya changanyikeni maana siyapati hakika.
lkn nimekutahadharisha ya Mv Bukoba, humo ndani Kampuni ya Breweries wataongeza vinywaji, sasa Treni itakayoenda X-mas ni kata miti panda miti, kwa hiyo ukiwaona wenzako kwenye corridor wamelewa na kupakatina usiache mrejesho
tarehe hizo Wanachuo na wanafunzi waakuwepo? maana waKibosho na waRombo wamejaa mifuko tayari kwa Mlimani
 
[emoji23][emoji23][emoji23] tuacheee. Wakibosho na warombo damu damu sisi. Tunapendanaa. Ila kwani anayeendesha jaman ndo analewa? Yeye analisukuma tuu bwanaa. Anyways, ushaanza nitisha bwanaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…