Hapendi private.,..bata la mwaka jana kwenye treni limemzinguabora RRONDO akupe lift akushushe Himo njia panda, Treni siku hizo wanawawekea na breweries, ndani ni lazima mtakolewa na kilevi isije ikawa km ile Meli ya Mv BK
Usafiri wa Private mzuri ukipata lift mradi masharti jamaa akisimama Mombo usikatae kilagi na kulala Same hata kwenye gari kuvunja seat tu ndio raha za P/car
Huu uzi unanipa data za machimbo muhimumm nitapitia Makau mapya Arusha, pale kuna samaki watu wa chap chap, Babati nitampoteza jamaa ngoja nikamdondoshee Dodoma kwa Wabunge wa Covid 19 najua ndio level yake akimaliza mwaka atinge zake Dar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mgeni na JF? Huku watu wanahisi wana haki ya kupangia wengine waishi vipi na kujiona wao wakamilifu.
Mkuu[emoji28][emoji28] sikua na uhitaji wa private cars kwasababu zipo za kutosha nyumbani. Mimi tamanio langu ni kuexperience usafiri wa treni na basi maana nilipata wivu ile last dec. Halaf kwenye mabasi naenjoy new company jamani. Marafiki wapya. Nilipataga mchumba huko wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2088][emoji2088] Aru-Dar. Sasa ukiwa na wazazi si hamna raha kihivyo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bora RRONDO akupe lift akushushe Himo njia panda, Treni siku hizo wanawawekea na breweries, ndani ni lazima mtakolewa na kilevi isije ikawa km ile Meli ya Mv BK
Usafiri wa Private mzuri ukipata lift mradi masharti jamaa akisimama Mombo usikatae kilagi na kulala Same hata kwenye gari kuvunja seat tu ndio raha za P/car
Ndioi[emoji23]Hapendi private.,..bata la mwaka jana kwenye treni limemzingua
Mambo double R, uliadimika hadi nikajua unachukua PhD ya karantini bin korona 😅😅
Ukifika Mombo nipigie niteremke tufanye ligi kidogo kuelekea kaskazini zaidi. Niko na manual gear DKQ 🤪.
lkn nimekutahadharisha ya Mv Bukoba, humo ndani Kampuni ya Breweries wataongeza vinywaji, sasa Treni itakayoenda X-mas ni kata miti panda miti, kwa hiyo ukiwaona wenzako kwenye corridor wamelewa na kupakatina usiache mrejeshoNdioi[emoji23]
Nayataman sana maisha ya changanyikeni maana siyapati hakika.
[emoji23][emoji23][emoji23] tuacheee. Wakibosho na warombo damu damu sisi. Tunapendanaa. Ila kwani anayeendesha jaman ndo analewa? Yeye analisukuma tuu bwanaa. Anyways, ushaanza nitisha bwanaa.lkn nimekutahadharisha ya Mv Bukoba, humo ndani Kampuni ya Breweries wataongeza vinywaji, sasa Treni itakayoenda X-mas ni kata miti panda miti, kwa hiyo ukiwaona wenzako kwenye corridor wamelewa na kupakatina usiache mrejesho
tarehe hizo Wanachuo na wanafunzi waakuwepo? maana waKibosho na waRombo wamejaa mifuko tayari kwa Mlimani
Ukipata Serengeti lite baridi sana inakufanya uwe very active.Mkuu vyombo na safari ndefu inakuwaje? Au unaendeshwa? ILA kuwa na vituo Raha sana wala huhisi urefu wa safari
Sijaconfirm tarehe mkuu.Tarehe ngap unapanda mkuu nkujoin
Naikumbuka Rumion yetu...ushaweka rims Nyingine?Mtoa mada kama ulikuwepo vile maana wiki ijayo naanza Safar ndefu ya Kwenda Masasi na Rumion namba DUN yaani sina haja ya kupima wheel alignment wala kumwaga oil kwasabb chombo kimefanyiwa service wiki mbili zilizopita
We aunti, njoo Dochi. Nina 'mzigo' wako.
-Kaveli-
Service mpaka upeleke gereji? Ama hujui Sasa hivi Kuna mobile mechanic.Service ndio hapo kwa fundi juma chini ya mwembe!
Bado sijaweka mpaka mwakani Acha tupambane na Ada za watoto kwanzaNaikumbuka Rumion yetu...ushaweka rims Nyingine?
Nilishaaga hapa sitakiwi kukaa, njoo kwenye uzi wangu wowote.
Sitaki makwazo na mtu mwisho wa mwaka.