Aisee!
Gari ganiWahindi wakinunua utaambiwa wafanyabiashara.
Mtanzania ukinunua unaambiwa fisadi au muhujumu uchumi.
Kuna gari nataka kununua mbeleni, najua tu likitua bongo ntaitwa nikajieleze TRA hela natoa wapi.
Wahindi nawaonea wivu sana. Wanakula maisha bila kuhojiwa. Ule wewe mbongo, utaulizwa hela umetoa wapi ya kuishi kufuru hiyo.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Kweli. Ila hapo kwangu mimi labda hiyo G class na Aston Martin ndiyo inanitoa roho. Kuna magoma aisee ni balaa. Ushawahi kusikia goma linaitwa Jeep Trackhawk?
Nilikuwa naingalia hapa.. ni chuma haswaa cha kibabe. Aston Martin huwa ni gari zenye hadhi yake. Japo gari ambayo huwa inanitoa roho sana huwa ni Ferrari F12berlinettaKweli. Ila hapo kwangu mimi labda hiyo G class na Aston Martin ndiyo inanitoa roho. Kuna magoma aisee ni balaa. Ushawahi kusikia goma linaitwa Jeep Trackhawk?
Porsche 911 Turbo S.Gari gani
Hi ni kisanga kwa bongo lazima wakubane hela umetoa wapi, wanaweza funga account zako za bank kupisha uchunguziPorsche 911 Turbo S.
Kama unafanya issue zako za halali huna sababu ya kuhofia ila kama una mambo yamejificha inabidi usinunue vitu kama hivi.Kuna jamaa aligiza gari tra makato yalikuwa milioni 100 walimuite akajieleze hela anatoa wapi, alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mkulima
😀😀😀😀.. wanadhibiti pesa chafu... ni rahisi unanyoosha maelezo ulipozitoa..Kuna jamaa aligiza gari tra makato yalikuwa milioni 100 walimuite akajieleze hela anatoa wapi, alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mkulima
Kwamba Crown haipitwi au?
Shida ni moja tu umenunua gari ya 200m umezipata kwenye biashara au shughuli gani? Ukiwatajia hio biashara/shughuli wanaangalia umelipa kodi kiasi gani so far! Hapo ndio unakutwa umelipa PAYE tu ambayo inakatwa direct utajua hujui!😀😀😀😀.. wanadhibiti pesa chafu... ni rahisi unanyoosha maelezo ulipozitoa..
Ujue ni rahisi kuona hivi.Kama unafanya issue zako za halali huna sababu ya kuhofia ila kama una mambo yamejificha inabidi usinunue vitu kama hivi.
Kaka ile plan ya weekend trip ulifanikiwa?Acheni woga tumia hela ikuzoee
Huko kwenye mualiko ulifuata ushauri wa Pr.Jannabi ?Aah wapi! Jana nilipata mwaliko nimerudi home saa tisa usiku...nimeamka saa tano asubuhi