Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

I felt like he was trying to match ila low end power hana kwahiyo nilipotangulia mimi nikianza overtakes anapotea kwenye side mirror. Anakuwa hana uwezo wa kuimatch overtake yangu na kurudi safely coz ya torque

But kuna stretch nilimtanguliza nimfollow from behind, nikamwacha achochee, tukawa tuna cruise at around 175kmph. It just takes him too long to get there. Am not sure if he was incapable or unwilling of doing more.

Mi navyoona road trips za kibongo bongo the car with the bigger engine / higher torque ( low end power) rules kwasababu you spend a lot of time accelerating to safely complete overtakes and its easier with such engines.

Kuna baadhi ya overtake especially when kuna gari inakuja upande wa pili dereva mwenye injini ndogo hawezi kuthubutu ila chuma ya 3000+cc unazipiga bila wasiwasi na unaimaliza mapema tu unaendelea na safari unamwacha mtegemea turbo nyuma anahangaika kusubiri upenyo wa kuovertake.

Most tech kama forced induction come into play at higher revs lakini huku chini displacement rules.

Kuna quick cars na fast cars. You need a quick car to rule road trips on public highways. You need a fast car to rule race tracks.
Niliwahi kutamani kununua Nissan Fuga ila shida ikawa pale kwenye dashboard ina maneno ya kijapan tupu.

Sijui kama kuna zenye kingereza.
 
Niliwahi kutamani kununua Nissan Fuga ila shida ikawa pale kwenye dashboard ina maneno ya kijapan tupu.

Sijui kama kuna zenye kingereza.
Yenye kiingereza hakuna labda uchukue Infiniti sasa from US, left hand drive though. Option nyingine niliona kuna warusi wanabadilisha infotainment yote inakuja ya kiingereza. Its a hardware change.

Honestly nimekaa nayo taratibu na google translate (instant camera mode) now I navigate the menus kama mjapani. Nimecrame positions za menu items [emoji23][emoji23][emoji23]

Plus nimesoma user manual ya infiniti m35 (ya fuga ni japanese only) since its basically the same car, I can say hakuna ninachokosa.
 
Barabara ya Mwanza - Geita pale asubuhi feri ya kwanza kuna bonge la ligi.

Alfajiri magari yanakusanyika... waliotoka Mwanza wanaonenda Geita, Katoro, Chato, Kagera. Yakishajaa yanaingia kwenye feri, ikitia nanga tu fungulia mbwa inaanza - ni kuonyeshana umwamba tu barabarani.

20210208_084011.jpg


Huku ndio average speed za 100+ kmph zinapatikana

Translation
1. Running Time
2. Distance
3. Average speed
 
Barabara ya Mwanza - Geita pale asubuhi feri ya kwanza kuna bonge la ligi.

Alfajiri magari yanakusanyika... waliotoka Mwanza wanaonenda Geita, Katoro, Chato, Kagera. Yakishajaa yanaingia kwenye feri, ikitia nanga tu fungulia mbwa inaanza - ni kuonyeshana umwamba tu barabarani.

View attachment 1697332

Huku ndio average speed za 100+ kmph zinapatikana
Hongereni sana kubahatisha ka Autobhan kenu huko. Huku Daresalama jau tu! Mataa kila mahali 😁😁😁
 
Dar njia tamu ni ile ya Mbezi Afrikana kwenda Mbweni tu kule ndio hamna uchawi wala mituta japo kuna kona kali mahali[emoji16]

Its the only place i enjoyed free runs!
Inawezekana part of the reason watu kuendesha kwa vurugu Dar is hawapati muda wa kufungulia speed so inawawasha. Mtu akishakaa 180 for an entire minute highway hamu ya kukimbia kimbia inamwisha anakuwa mstaarabu kwenye city driving.

Just my 2 cents
 
Hapo kila mtu anapamba afike saa 5 kwenye dashboard! Kipande kina urefu gani hicho?
Mpaka Geita (wanapoenda wengi) 60km but free run inaendelea. Tumeenda nayo more than 200km nikafika. Sijui mbele huko kama pana uchawi.


Kuna vijiji hapo katikati watu wanatembea pembezoni so unachill kiaina but viko far between. Road quality is good.
 
Inawezekana part of the reason watu kuendesha kwa vurugu Dar is hawapati muda wa kufungulia speed so inawawasha. Mtu akishakaa 180 for an entire minute highway hamu ya kukimbia kimbia inamwisha anakuwa mstaarabu kwenye city driving.

Just my 2 cents
Yah kwa Dar unakuta mtu ana gari jipya linamtia genye kweli, hajapiga long trips za kuitoa mafua.
Anajikuta anawashwawashwa,,,mi njia nayomaliziaga hasira hizo ni Mlimani city mpaka riverside!
 
Mpaka Geita (wanapoenda wengi) 60km but free run inaendelea. Tumeenda nayo more than 200km nikafika. Sijui mbele huko kama pana uchawi.


Kuna vijiji hapo katikati watu wanatembea pembezoni so unachill kiaina but viko far between. Road quality is good.
Hahahah 200KM ni mkoa kwa mkoa hio kabisa 😂😂😂!!!

Hapo lazma mtunishiane vifua ila hata mie ningekalisha mapimbi kadhaa. Vanguard ilinifua last time 😁😁😁 yule boya alikuwa anaenda 150KPH
 
Hahahah 200KM ni mkoa kwa mkoa hio kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Hapo lazma mtunishiane vifua ila hata mie ningekalisha mapimbi kadhaa. Vanguard ilinifua last time [emoji16][emoji16][emoji16] yule boya alikuwa anaenda 150KPH
Mi niliwapa lift watu wawili wajuzi wa ile njia wanawahi kazini Geita, nikawaambia jamani mi ntatembea wakasema ndio safi wao jukumu lao kunijulisha matuta yanayofuata yalipo na road condition zinazofuata maana ni makonki wa ile road.

Tatizo hapakuwa na gari ya kutunishiana nayo. Jamaa mmoja alikuwa na harrier nilivyompita akaanza battle akanipita kwenye eneo la kijiji lenye matuta alikuwa anayafuta tu. Niliogopa wanafunzi aisee walikuwa wanatembea pembezoni so nikamuacha aende.

Abiria waliponijulisha bana vijiji vimeisha hapa mguu wako tu, nilimpita na 185 na hakuniona tena [emoji23][emoji23]

Sema wajapani washenzi sana kuweka hii electronic speed limiter kwenye 180. Kile kipande ingekuwa BMW au VW au Merc yenye 260+ angenihenyesha kumwacha kwenye sidemirror na si ajabu ningeachwa mimi
 
'Crown ndio top saloon ya Japanese Toyota line. Unafikiri inaweza kwenda sambamba na top ya Germany line?! Mfano top wa Merc au BMW?'

-Top ya Mercedes(S class),ya Bmw 7 series zinashindana na lexus LS na sio toyota Crown

'Mark X wenzie akina 5seriese au A6 unafikiri Mark X inaweza kupambana na 523i au 530i?'

-Mark X 2009(2nd gen/last gen maana mark x zio siioni kama ni mark x ile) engine 2GR-FSE HP 315) vs 2009 523i HP 201,530i 255HP hapo hizo 523i&530 zinakatizia wapi?Hapo Audi A6 2009 3.0T itaenda kupambana na mark x supercharger 2GR-FSE),525i hii nimeendesha na ilikua ya kawaida sana kwny mbio apart from prestige ya badge lkn haikua na maajabu.,pia hio 2gr-fse nimeiendesha ikiwa kwny avalon(UK),528i ilikua inaachwa mbali saana so sioni 530 itafanya miujiza gani hapo.

Ujanja wa mjerumani ni kwny kujaza ma supercharger/turbo lkn kwny natural aspirated engine ni wa kawaida sana/hana miujiza.
Hapo ndipo anapojifichia mjerumani😂😂😂 na kuondosha speed limit sababu ana autobhan! Kwake ujerumani ana barabara za ku support 300KPH+ ndio maana anafyatua gari zenye speedometer kubwa kuliko japan 😁!

Ila bila turbocharging anaachwa uchi mapema tu na mjapani 😂! Huwezi compare natural aspirated vs turbocharged engines.
 
I felt like he was trying to match ila low end power hana kwahiyo nilipotangulia mimi nikianza overtakes anapotea kwenye side mirror. Anakuwa hana uwezo wa kuimatch overtake yangu na kurudi safely coz ya torque

But kuna stretch nilimtanguliza nimfollow from behind, nikamwacha achochee, tukawa tuna cruise at around 175kmph. It just takes him too long to get there. Am not sure if he was incapable or unwilling of doing more.

Mi navyoona road trips za kibongo bongo the car with the bigger engine / higher torque ( low end power) rules kwasababu you spend a lot of time accelerating to safely complete overtakes and its easier with such engines.

Kuna baadhi ya overtake especially when kuna gari inakuja upande wa pili dereva mwenye injini ndogo hawezi kuthubutu ila chuma ya 3000+cc unazipiga bila wasiwasi na unaimaliza mapema tu unaendelea na safari unamwacha mtegemea turbo nyuma anahangaika kusubiri upenyo wa kuovertake.

Most tech kama forced induction come into play at higher revs lakini huku chini displacement rules.

Kuna quick cars na fast cars. You need a quick car to rule road trips on public highways. You need a fast car to rule race tracks.
Personally nimeobserve hii maneno last week usiku, J5 kuamkia Alhamisi si tukiwa na Subaru Forester XT 2.0 kuna mwamba alikua na Ipsum 2.4Ltr. Tuliburuzana buruzana nae hiki kipande cha kuanzia Sangasanga kuitafuta Doma alipoamua kufanya kazi sasa na kwenda zake daah alipepea mnooo hatukumuona tena, mbali na 'jiko' la chombo 'wehu' flani hivi wa dereva nao una nafasi kubwa kwenye matokeo. Dere wa Toyota Ipsum T...DFG salute kama upo humu nilikubali show yako
 
Mi niliwapa lift watu wawili wajuzi wa ile njia wanawahi kazini Geita, nikawaambia jamani mi ntatembea wakasema ndio safi wao jukumu lao kunijulisha matuta yanayofuata yalipo na road condition zinazofuata maana ni makonki wa ile road.

Tatizo hapakuwa na gari ya kutunishiana nayo. Jamaa mmoja alikuwa na harrier nilivyompita akaanza battle akanipita kwenye eneo la kijiji lenye matuta alikuwa anayafuta tu. Niliogopa wanafunzi aisee walikuwa wanatembea pembezoni so nikamuacha aende.

Abiria waliponijulisha bana vijiji vimeisha hapa mguu wako tu, nilimpita na 185 na hakuniona tena [emoji23][emoji23]

Sema wajapani washenzi sana kuweka hii electronic speed limiter kwenye 180. Kile kipande ingekuwa BMW au VW au Merc yenye 260+ angenihenyesha kumwacha kwenye sidemirror na si ajabu ningeachwa mimi
Hii speedlimiter ndio inaudhi ila hio engine ya Fuga inafika 260KPH bila shida. Hahahah Harrier ali risk sana, ile gari kwa ground clearance yake kuvuka 140KPH ni very risky
 
Back
Top Bottom