He he he kumaliza sahani sikushauri, lakini average ya 150 - 160Kph sio mbaya, vipo vipande vinaruhusu kabisa. Mafinga Makambako kuna vpande vimenyooka safi na wala hakuna matuta, Makambako - Igawa pia kuna vipande vimekaa safi na hata rasta zake sio za kukera unafukia na kutembea vizuri kabisa. Bado hapa Msolwa - Ubena - Mikese kuna vipande vinanoga sana kuuweka mguu kulia humoHahahah ipo siku nitajitoa ufahamu 😂😂😂 nitest kumaliza 180KPH maana limiter imewekwa kwenye 190KPH.
Shida ile speedometer yake ni ya digital
Hivyo vipande labda usiku, ila kwa mida ya Yange Yange wa sirro utaumiza wallet.He he he kumaliza sahani sikushauri, lakini average ya 150 - 160Kph sio mbaya, vipo vipande vinaruhusu kabisa. Mafinga Makambako kuna vpande vimenyooka safi na wala hakuna matuta, Makambako - Igawa pia kuna vipande vimekaa safi na hata rasta zake sio za kukera unafukia na kutembea vizuri kabisa. Bado hapa Msolwa - Ubena - Mikese kuna vipande vinanoga sana kuuweka mguu kulia humo
Dah mi nitajaribu nione inafanyaje engine 😁 maana kuna raha yake ku experience mwisho wa kibati!Ikifika around 185/190kph engine inakata, nilipiga na Crown. Engine unaisikia kabisa kama ina-cease.
Mbezi - Moro kama ni kweupe tayari huwa watumia muda gani?Hivyo vipande labda usiku, ila kwa mida ya Yange Yange wa sirro utaumiza wallet.
Ni kweli ndio maana sivukagi 130KPH sababu trip zangu napigaga night tu😁Usiku ni hatari kukuimbia sana. Kimbia mchana eneo linaloruhusiwa.
Dakika 75 hivi mida ambayo wachawi hamna. Njia tamu sana ukishavuka bwawani pale.Mbezi - Moro kama ni kweupe tayari huwa watumia muda gani
Hahaha kama una dashboard yenye 280 inakung'onga lazma kiroho kikudunde dunde mzee. Unaona wacha nifike hata 200KPH tu 😂😂😂130kph ni very sad speed basi tu ukiwa barabarani unajikuta uko zaidi ya hio.
Usiku ni hatari kukuimbia sana. Kimbia mchana eneo linaloruhusU
Raha ya usiku ni kumaintain 80 - 140Kph depending on condition ya barabara na kwa kujiongeza na kujiridhisha kuisigina michoro ya katazo la kuovateki if veri safe, sasa kwa mchana hivyo vyote ni vikwazo vya kufanya safari iwe ndeeeeefuuuu bila mpango.Usiku ni hatari kukuimbia sana. Kimbia mchana eneo linaloruhusiwa.
Mchana napenda kuona vizuri. Usiku sipendi kutokuona mbali.Raha ya
Raha ya usiku ni kumaintain 80 - 140Kph depending on condition ya barabara na kwa kujiongeza na kujiridhisha kuisigina michoro ya katazo la kuovateki if veri safe, sasa kwa mchana hivyo vyote ni vikwazo vya kufanya safari iwe ndeeeeefuuuu bila mpango.
Safari ya Dar-Moro ukianza saa 2 kamili asubuhi Morogoro utafika saa 7 mchana.Raha ya
Raha ya usiku ni kumaintain 80 - 140Kph depending on condition ya barabara na kwa kujiongeza na kujiridhisha kuisigina michoro ya katazo la kuovateki if veri safe, sasa kwa mchana hivyo vyote ni vikwazo vya kufanya safari iwe ndeeeeefuuuu bila mpango.
Yah inakuwa rahisi ku control gariI meant safe.
Very true. Safari hii unaianza saa 11 asubuhi au mapema zaidi. Ikifika saa moja ushaiacha Dar na foleni zake.Safari ya Dar-Moro ukianza saa 2 kamili asubuhi Morogoro utafika saa 7 mchana.
Ila safari hio hio ukiianza saa 12 jioni unaweza fika morogoro saa 2 jioni!
Kuna tatizo kubwa la kucheleweshana kwenye safari za mchana bila sababu ndio maana tuna opt kutembea usiku.
Hivi ndio highways zinatakiwa ziwe hivyo sio kujaziana mituta kama shamba la viazi.Kipande cha nzega to tabora mjini, kizuri sana, hakuna matuta matuta, na mkeka umenyooka.. 140, 160 na 180.. kwenda mbele
Hahahah ipo siku nitajitoa ufahamu [emoji23][emoji23][emoji23] nitest kumaliza 180KPH maana limiter imewekwa kwenye 190KPH.
Shida ile speedometer yake ni ya digital kwahio huoni mwisho ila namba zinaongezeka tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Fuga inaacha tu kuaccelerate ila inatulia kwenye 190 fresh tu na wala abiria anaweza asijue akaendelea kupiga stori jinsi ilivyotuliaIkifika around 185/190kph engine inakata, nilipiga na Crown. Engine unaisikia kabisa kama ina-cease.
Nilishtuka nikadhani nimeblow engine kumbe nimefika kwenye limiter coz gari ilikata response ya acceleratorFuga inaacha tu kuaccelerate ila inatulia kwenye 190 fresh tu na wala abiria anaweza asijue akaendelea kupiga stori jinsi ilivyotulia
Ila huku jamaa Highway wamejaza rasta wanaudhi kinomaa. Hao wanakijiji wajengewe daraja kama la Buguruni lile wavukege sio kutukera na matuta.Humps ziko vibarabara vya mtaani.