Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Unakata kama engine kubwa, huwa mala nyingi sana nazipanga gari alafu nazifuta hatari, ila ndio ujue unatembelea 160 + wengine wajinga wakikuona nao wanavuta ili ukakutane na moto mbele yako.. kuna siku alimanusa uso kwa uso na Fuso.. ndio siku niliyojikubali kuwa naweza muendesha hata Rais 😀😀😀Labda uwe barabara nyoofu sana. Kukata Semi 3 tu ni ishu! Lazma gari ikukute
kawaida sana kama mupo safari moja(eg. dar-mby) na mnavimbiana huko road....Hivi mnapataga muda wa kusalimianaga na kuulizana kuhusu magari yenu?
Hio kamari siwezi icheza mzee, sitoi gari kama mbele hapako clear. Hio ya kutaka kuiwahi gari ya mbele gari inaweza kuslip gear ndio utajua hujui 😂😂😂 kitu kinavuma hakisogei mamaye! Hii ni kwa automatics Transmission fluid ikishapata moto sana!Unakata kama engine kubwa, huwa mala nyingi sana nazipanga gari alafu nazifuta hatari, ila ndio ujue unatembelea 160 + wengine wajinga wakikuona nao wanavuta ili ukakutane na moto mbele yako.. kuna siku alimanusa uso kwa uso na Fuso.. ndio siku niliyojikubali kuwa naweza muendesha hata Rais 😀😀😀
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo mixa kumpiga full nyingi sana kumsihi apooze umalizie kuovateki umpishe aendelee na njia yake, ukisharudi kwako unatwetaaa [emoji23][emoji23]Hio kamari siwezi icheza mzee, sitoi gari kama mbele hapako clear. Hio ya kutaka kuiwahi gari ya mbele gari inaweza kuslip gear ndio utajua hujui [emoji23][emoji23][emoji23] kitu kinavuma hakisogei mamaye! Hii ni kwa automatics Transmission fluid ikishapata moto sana!
Ishantokeaga nikasema imetosha im too young to Die at this age! Bahati gari ilikuwa mbali zaidi af chuma ni Scania pata picha nini kingenikuta. Wa pembeni akanilegezea nikachomeka.
😀😀😀😀😀 Babarani Mungu hutulinda, pia umakini na uzoefu. Yule kumaucha wa mwisho baada ya kuona kuna gari mbele akaweka mtima nyongo sijua alitaka nife..Hio kamari siwezi icheza mzee, sitoi gari kama mbele hapako clear. Hio ya kutaka kuiwahi gari ya mbele gari inaweza kuslip gear ndio utajua hujui 😂😂😂 kitu kinavuma hakisogei mamaye! Hii ni kwa automatics Transmission fluid ikishapata moto sana!
Ishantokeaga nikasema imetosha im too young to Die at this age! Bahati gari ilikuwa mbali zaidi af chuma ni Scania pata picha nini kingenikuta. Wa pembeni akanilegezea nikachomeka.
Kummmk ilikuwa mchana siku hio, usiku ningebidi nibadilishe boxer kabisa maana nnya ingenitoka kwa mbali 😂😂😂![emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo mixa kumpiga full nyingi sana kumsihi apooze umalizie kuovateki umpishe aendelee na njia yake, ukisharudi kwako unatwetaaa [emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] nakusoma, hata mchana si inabidi umpe ishara ya lights ikibidi ili anayekuja mbele akaushe na honi huyu wa kushoto kwako apooze kidogo upenye mbele yake mwendo mchibuyu, af hatukomagi mbele kidogo unaanza kuchungulia chungulia tena, daahKummmk ilikuwa mchana siku hio, usiku ningebidi nibadilishe boxer kabisa maana nnya ingenitoka kwa mbali [emoji23][emoji23][emoji23]!
Uzuri ukishamaliza bunju hapo ni mkeka mwanzo mwisho mpaka msata.This mostly favors mtokeao maeneo close to Bagamoyo Road (Goba, Kawe, Mbezi Beach, Ununio, Tegeta, Mbweni n.k) Atokeae Tabata, Kitunda, Kinyerezi, Chang'ombe n.k akishapenya na Kifuru Malamba Mawili akatokea Mbezi heri akomae tu na Morogoro Rd aitafute Chalinze kwa mbinde kuliko mzunguko wa kuitafuta Bagamoyo Rd na foleni zake hadi afike Msata hoiiii
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hiyo safi.Hii ni kawaida, kama ni route ya Dar - Moro - Iringa - Makambako, refueling stations na kuchimba dawa iwapo upo na familia zaweza kuwa points mnazowezakutana na kusemeshana. Kwa ruti hiyo Morogoro Total pale Msamvu, Total Mikumi ama Iringa pale Ipogolo weng huweka kituo briefly kabla ya kulisongesha. So kama mliburuzana sana huko nyuma si haba kusema 'hello' ha ha ha na salute ya heshima if need be kama umenyooshwa 😀 😀
Hahahah wengine wanapigaga TAG tu ili ukafe vizuri maana ukiomba kurudi yeye anakaza mguu 😂😂😂 kmmmk walai!!!😀😀😀😀😀 Babarani Mungu hutulinda, pia umakini na uzoefu. Yule kumaucha wa mwisho baada ya kuona kuna gari mbele akaweka mtima nyongo sijua alitaka nife..
Ukinipita nenda. Nikikupita sikusubiri kokote.kawaida sana kama mupo safari moja(eg. dar-mby) na mnavimbiana huko road....
On safety point of view ni vyema kusimama walau baada ya Kms 200 ama 4Hrs drive for body stretching na kukagua chombo hapa na pale, b4 kulisongesha. Normalize hiyo tabia Mzee [emoji4][emoji4]Hiyo safi.
Mi huwa sisimami kokote.
Mwanzo mwisho.
Lazma utie hazar na taa nyingi 😁😁😁!!![emoji23][emoji23][emoji23] nakusoma, hata mchana si inabidi umpe ishara ya lights ikibidi ili anayekuja mbele akaushe na honi huyu wa kushoto kwako apooze kidogo upenye mbele yake mwendo mchibuyu, af hatukomagi mbele kidogo unaanza kuchungulia chungulia tena, daah
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Barabarani kuna watu wana roho mbaya sana, mwingine anakuletea kabisa moto, hajui mtu una wahi wapi.. nakumbuka ile picha hadi leo ilibaki mita chache viumane.. cha kushukuru gari ilikuwa na nguvu nilipeleka mguu paka kwisho ilitoka kama ndege nikashangaa nimetoka mdomoni mwa ziraeliHahahah wengine wanapigaga TAG tu ili ukafe vizuri maana ukiomba kurudi yeye anakaza mguu 😂😂😂 kmmmk walai!!!
Unaona kabisa naisha cha muhimu bora kunyunyuzia ujichomeke nyuma ya jamaa 😂😂😂
Hahahah mie huwa nachezaga na O/D button nikizima na kuwasha naikata lorry kama mshale! Chombo inapepea mpaka unaskia burudani 😂😂😂Barabarani kuna watu wana roho mbaya sana, mwingine anakuletea kabisa moto, hajui mtu una wahi wapi.. nakumbuka ile picha hadi leo ilibaki mita chache viumane.. cha kushukuru gari ilikuwa na nguvu nilipeleka mguu paka kwisho ilitoka kama ndege nikashangaa nimetoka mdomoni mwa ziraeli
Barabarani akili huwa za moto sana ndio shida inapo anzia hapo[emoji23][emoji23][emoji23] nakusoma, hata mchana si inabidi umpe ishara ya lights ikibidi ili anayekuja mbele akaushe na honi huyu wa kushoto kwako apooze kidogo upenye mbele yake mwendo mchibuyu, af hatukomagi mbele kidogo unaanza kuchungulia chungulia tena, daah
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Dah! Ila huwa raha sana kukimbiza gari.. basi tuHahahah mie huwa nachezaga na O/D button nikizima na kuwasha naikata lorry kama mshale! Chombo inapepea mpaka unaskia burudani 😂😂😂
Hahahaha ndio hivyo umakini unahitajika. Ukiwa highway ndio sehemu ya gari kukimbia ndio mahala pake huwezi kuepuka.Dah! Ila huwa raha sana kukimbiza gari.. basi tu
Lazma uchape mwendo aisee, barabara ikiruhusu unakaza mguu tu😁Mtu unaenda km500+ unaendaje chini ya 100kph njia ikiwa nyeupe? Ni matumizi mabaya ya rasilimali.