Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Labda uwe barabara nyoofu sana. Kukata Semi 3 tu ni ishu! Lazma gari ikukute
Unakata kama engine kubwa, huwa mala nyingi sana nazipanga gari alafu nazifuta hatari, ila ndio ujue unatembelea 160 + wengine wajinga wakikuona nao wanavuta ili ukakutane na moto mbele yako.. kuna siku alimanusa uso kwa uso na Fuso.. ndio siku niliyojikubali kuwa naweza muendesha hata Rais 😀😀😀
 
Unakata kama engine kubwa, huwa mala nyingi sana nazipanga gari alafu nazifuta hatari, ila ndio ujue unatembelea 160 + wengine wajinga wakikuona nao wanavuta ili ukakutane na moto mbele yako.. kuna siku alimanusa uso kwa uso na Fuso.. ndio siku niliyojikubali kuwa naweza muendesha hata Rais 😀😀😀
Hio kamari siwezi icheza mzee, sitoi gari kama mbele hapako clear. Hio ya kutaka kuiwahi gari ya mbele gari inaweza kuslip gear ndio utajua hujui 😂😂😂 kitu kinavuma hakisogei mamaye! Hii ni kwa automatics Transmission fluid ikishapata moto sana!
Ishantokeaga nikasema imetosha im too young to Die at this age! Bahati gari ilikuwa mbali zaidi af chuma ni Scania pata picha nini kingenikuta. Wa pembeni akanilegezea nikachomeka.
 
Hio kamari siwezi icheza mzee, sitoi gari kama mbele hapako clear. Hio ya kutaka kuiwahi gari ya mbele gari inaweza kuslip gear ndio utajua hujui [emoji23][emoji23][emoji23] kitu kinavuma hakisogei mamaye! Hii ni kwa automatics Transmission fluid ikishapata moto sana!
Ishantokeaga nikasema imetosha im too young to Die at this age! Bahati gari ilikuwa mbali zaidi af chuma ni Scania pata picha nini kingenikuta. Wa pembeni akanilegezea nikachomeka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo mixa kumpiga full nyingi sana kumsihi apooze umalizie kuovateki umpishe aendelee na njia yake, ukisharudi kwako unatwetaaa [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Hio kamari siwezi icheza mzee, sitoi gari kama mbele hapako clear. Hio ya kutaka kuiwahi gari ya mbele gari inaweza kuslip gear ndio utajua hujui 😂😂😂 kitu kinavuma hakisogei mamaye! Hii ni kwa automatics Transmission fluid ikishapata moto sana!
Ishantokeaga nikasema imetosha im too young to Die at this age! Bahati gari ilikuwa mbali zaidi af chuma ni Scania pata picha nini kingenikuta. Wa pembeni akanilegezea nikachomeka.
😀😀😀😀😀 Babarani Mungu hutulinda, pia umakini na uzoefu. Yule kumaucha wa mwisho baada ya kuona kuna gari mbele akaweka mtima nyongo sijua alitaka nife..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo mixa kumpiga full nyingi sana kumsihi apooze umalizie kuovateki umpishe aendelee na njia yake, ukisharudi kwako unatwetaaa [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kummmk ilikuwa mchana siku hio, usiku ningebidi nibadilishe boxer kabisa maana nnya ingenitoka kwa mbali 😂😂😂!
 
Kummmk ilikuwa mchana siku hio, usiku ningebidi nibadilishe boxer kabisa maana nnya ingenitoka kwa mbali [emoji23][emoji23][emoji23]!
[emoji23][emoji23][emoji23] nakusoma, hata mchana si inabidi umpe ishara ya lights ikibidi ili anayekuja mbele akaushe na honi huyu wa kushoto kwako apooze kidogo upenye mbele yake mwendo mchibuyu, af hatukomagi mbele kidogo unaanza kuchungulia chungulia tena, daah

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
This mostly favors mtokeao maeneo close to Bagamoyo Road (Goba, Kawe, Mbezi Beach, Ununio, Tegeta, Mbweni n.k) Atokeae Tabata, Kitunda, Kinyerezi, Chang'ombe n.k akishapenya na Kifuru Malamba Mawili akatokea Mbezi heri akomae tu na Morogoro Rd aitafute Chalinze kwa mbinde kuliko mzunguko wa kuitafuta Bagamoyo Rd na foleni zake hadi afike Msata hoiiii

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Uzuri ukishamaliza bunju hapo ni mkeka mwanzo mwisho mpaka msata.

Ila morogoro road mpaka mlandizi lazima ukute jam. Au mnyororo wa malorry. Au hata huko ruvu nako unaweza kula hali mbaya.
 
Hii ni kawaida, kama ni route ya Dar - Moro - Iringa - Makambako, refueling stations na kuchimba dawa iwapo upo na familia zaweza kuwa points mnazowezakutana na kusemeshana. Kwa ruti hiyo Morogoro Total pale Msamvu, Total Mikumi ama Iringa pale Ipogolo weng huweka kituo briefly kabla ya kulisongesha. So kama mliburuzana sana huko nyuma si haba kusema 'hello' ha ha ha na salute ya heshima if need be kama umenyooshwa 😀 😀
Hiyo safi.

Mi huwa sisimami kokote.

Mwanzo mwisho.
 
😀😀😀😀😀 Babarani Mungu hutulinda, pia umakini na uzoefu. Yule kumaucha wa mwisho baada ya kuona kuna gari mbele akaweka mtima nyongo sijua alitaka nife..
Hahahah wengine wanapigaga TAG tu ili ukafe vizuri maana ukiomba kurudi yeye anakaza mguu 😂😂😂 kmmmk walai!!!
Unaona kabisa naisha cha muhimu bora kunyunyuzia ujichomeke nyuma ya jamaa 😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nakusoma, hata mchana si inabidi umpe ishara ya lights ikibidi ili anayekuja mbele akaushe na honi huyu wa kushoto kwako apooze kidogo upenye mbele yake mwendo mchibuyu, af hatukomagi mbele kidogo unaanza kuchungulia chungulia tena, daah

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Lazma utie hazar na taa nyingi 😁😁😁!!!
Mambo ya kibwege kweli ila ndio sehem pekee inauaga sana vijana kuovertake kwenye blind spots ni jau!
 
Hahahah wengine wanapigaga TAG tu ili ukafe vizuri maana ukiomba kurudi yeye anakaza mguu 😂😂😂 kmmmk walai!!!
Unaona kabisa naisha cha muhimu bora kunyunyuzia ujichomeke nyuma ya jamaa 😂😂😂
Barabarani kuna watu wana roho mbaya sana, mwingine anakuletea kabisa moto, hajui mtu una wahi wapi.. nakumbuka ile picha hadi leo ilibaki mita chache viumane.. cha kushukuru gari ilikuwa na nguvu nilipeleka mguu paka kwisho ilitoka kama ndege nikashangaa nimetoka mdomoni mwa ziraeli
 
Barabarani kuna watu wana roho mbaya sana, mwingine anakuletea kabisa moto, hajui mtu una wahi wapi.. nakumbuka ile picha hadi leo ilibaki mita chache viumane.. cha kushukuru gari ilikuwa na nguvu nilipeleka mguu paka kwisho ilitoka kama ndege nikashangaa nimetoka mdomoni mwa ziraeli
Hahahah mie huwa nachezaga na O/D button nikizima na kuwasha naikata lorry kama mshale! Chombo inapepea mpaka unaskia burudani 😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nakusoma, hata mchana si inabidi umpe ishara ya lights ikibidi ili anayekuja mbele akaushe na honi huyu wa kushoto kwako apooze kidogo upenye mbele yake mwendo mchibuyu, af hatukomagi mbele kidogo unaanza kuchungulia chungulia tena, daah

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Barabarani akili huwa za moto sana ndio shida inapo anzia hapo
 
Back
Top Bottom