Duh si mchezo!Mimi jana nilipiga 1300km in 26 hours. Niligeuza the same day jioni kutoka Arusha nikarudi Dar.
Fatigue ingeniua.
Niliona reaction time yangu imekuwa mbaya mno, ikabidi niache kumwaga moto nikawa naifuata gari nyingine nyuma namtumia kama guide wa kuniangaliza mbele.
Kufika mombo nikakunjua kiti cha abiria nikajilaza, nkashtuka lisaa limoja na nusu baadae nikiwa fresh. Ikawa ni kulala na kona za korogwe tu - sedans zina raha yake kwenye curves.
Fatigue is real. Usingizi hauna baunsa.
Na unafanya kazi ya kueleweka kabisa Arusha kabla ya kugeuzaUkitoka mapema sana unaenda na kurudi mapema tu.
Mkuu, amekufanyia mbaya nini?
I wish tungeweka ligi, ila ilikuwa barabara ya kuitafuta Moshi kutokea Arusha mida ya jioni - huwezi kufanya ligi. Nilifanya kumfuata tu nyuma ku admire gari yake.Mkuu, amekufanyia mbaya nini?
Noah aina gani yenye uwezo wa kwenda Arusha na kurudi Mkuu? New model au old model?Hizi hizi gari zetu za mjapani mkuu ndio tunalamba nazo lami. Nimepanda sana noah za gazeti zinaenda na kurudi Arusha daily huwezi amini.
Zote nilizoshuhudia gazeti wakizitumia ni old model. Na zinakula mzigo mzito na watu kibao kujinyoosha huwezi.Noah aina gani yenye uwezo wa kwenda Arusha na kurudi Mkuu? New model au old model?
Hivi Noah yaweza kimbia Zaid ya 130km/hr pasipo kuyumba maana wanasenaga ni nyepesi Sana?Zote nilizoshuhudia gazeti wakizitumia ni old model. Na zinakula mzigo mzito na watu kibao kujinyoosha huwezi.
Nilishuhudia speedometer ikisoma 170 na dereva kashika mkono mmoja tu mwingine anavuta sigaraHivi Noah yaweza kimbia Zaid ya 130km/hr pasipo kuyumba maana wanasenaga ni nyepesi Sana?
Daaaa, usirudie kupanda gari za magazeti Tena Mkuu waweza kufa kabla ya siku zako Mana siyo kwa speed hizo Tena gari yenyewe ni Noah, Very risk .Nilishuhudia speedometer ikisoma 170 na dereva kashika mkono mmoja tu mwingine anavuta sigara
Nikiona service road najua hii lami ni mpya mkuu... wapi huko?
Hiyo lami sio mpya sanaaa, ila ina mashimo kama mashimo ya taka. Hiyo ni SingidaniNikiona service road najua hii lami ni mpya mkuu... wapi huko?
Hapana sio member wa Iron Butt, halafu hapa nilipo hakuna mtu mwenye mashine kama yangu kwa hiyo uwa nikaamua kuitembeza,natembea pekee yangu. Umbali mrefu niliowahi kusafiri ilikuwa Dar - Mwanza, kama mara tatu hivi. Kama hakuna mvua na upepo mkali nikiondoka asubuhi kabla jua halijazama nakuwa nimefika upande wa piliBike ina starehe yake unique sana ukiwa unasafiri mchana. Ulishawahi kujaribu Iron Butt Association challenge? Kutembea na pikipiki 1000km ndani ya masaa 24 consecutive?
Kweli inahitaji Iron butt. Kalio linaumia kishenzi
Singidani Kwa Mabaali
Tupo wengi Sana.Wazee wa BIKES wapo humu?