Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Yeye jamaa anataka kupita baadhi ya miji kwa madiba.

Ndo maana akitoka windhoek anaenda capetown, kuna kamji kingine kule chini. Na lazima apite durban akaone bandari yao ndo aendelee na safari.

It's all about enjoying.
Ok nimekuosoma , Ila kama anataka kuinjoi south aachane na njia ya bloemfontein kutoka cape town.
Kuna njia ya pili anapita kyasna, atapata kuona bandari ya port elizabeth, east london na durban pamoja na kupitia maseru
 
Kuna sehemu niliwahi soma kuhusu ukatili wa askari wa kule.

Ukweli upoje?
Mozambique na Angola shares one thing in common , language barrier .hakuna english !
Wakati napita mozambique ulikuwa ni wakati ule tunatumia visa kuingia kwao , tabu kubwa ilikuwa ni kujieleza kwa maaskari au immigration officers njiani. Baada yao madini kuwatajirisha sana wabongo ndipo chuki dhidi yetu ikalipuka,
Siku hizi nasikia kuna ukatili sana
 
Naweza ona picha yake?
Mizigo ya namna hii, popote kambiView attachment 1741074View attachment 1741075View attachment 1741076
IMG_20210402_105349.jpg


Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Waasi wapo chini huku kwenye silicon diamond na uranium, kule juu sijafika ila naambiwa kuna amani kidogo
Kongo yote imegubikwa na umasikini wa hali ya juu
Aisee.

Kati ya nchi ninazozipenda Africa nzima ni DRC na Mauritius.

Niliwahi jisemea nitaenda kutembea kule siku 1.

Na nilitaka nipige trip na jamaa kwasababu anapita DRC.
 
Mozambique na Angola shares one thing in common , language barrier .hakuna english
Wakati napita mozambique ulikuwa ni wakati ule tunatumia visa kuingia kwao , tabu kubwa ilikuwa ni kujieleza kwa maaskari au immigration officers njiani. Baada yao madini kuwatajirisha sana wabongo ndipo chuki dhidi yetu ikalipuka,
Siku hizi nasikia kuna ukatili sana
Dah. Shida inakuja hapo.
 
Kumbe ni hizi za camping.? Sijui kama itamfaa.

Yeye ana Prado yake VX ya 2019.

Ndo anataka kuitumia hiyo.
Hiyo ni muafaka pia, maana hakuna mashaka ya mafua njiani chombo mang'anu. Mchawi security kutegemea na njia atakayopita na 'mwarabu' tu. Madere wanakua wangapi safarini humo?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni muafaka pia, maana hakuna mashaka ya mafua njiani chombo mang'anu. Mchawi security kutegemea na njia atakayopita na 'mwarabu' tu. Madere wanakua wangapi safarini humo?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Yupo peke yake.

Ndo maana anachukua zaidi ya mwezi.

Kwa siku hatembei zaidi ya 500km.
 
Yupo peke yake.

Ndo maana anachukua zaidi ya mwezi.

Kwa siku hatembei zaidi ya 500km.
Kuwa walau wawili I find it njema zaidi on safety point of view n.k Challenge za safarini sio breakdown peke yake. Vinginevyo kila la heri kwake, let him explore the beautiness of the continent

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Duh trip yote hiyo pekeyake!
For some reasons hata mimi napenda kutembea peke yangu, concentration inakuwa kubwa sana na nakuwa huru kufanya mambo yangu bila kumsumbua mtu , naweza hata nikaona mti tulivu wenye kivuli nikaamua nipumzike hapo kwa masaa kadhaa kabla sijaendelea na safari.
It takes lot of commitment though .
 
For some reasons hata mimi napenda kutembea peke yangu, concentration inakuwa kubwa sana na nakuwa huru kufanya mambo yangu bila kumsumbua mtu , naweza hata nikaona mti tulivu wenye kivuli nikaamua nipumzike hapo kwa masaa kadhaa kabla sijaendelea na safari.
It takes lot of commitment though .

Mkiwa wawili au zaidi kwny gari hata kujamba kwa kujiachia ni shughuli pevu mwishowe ujibanie ulijaze tumbo mifuzi bure.
 
Mimi nakiachia [emoji100]vizuri kabisa hiyo najisi nikae nayo tumboni ya nini.

Hahah noma uko na watu humo garini,halafu ukishapiga kijambo utaona tu watu kimya mwingine anaongeza A/c bila kujua hapo ndipo anaharibu kabisa,mwingine atafungua dirisha mdogo mdogo tu mpk hapo unajua tu tayari mambo ni moto.
 
Hahah noma uko na watu humo garini,halafu ukishapiga kijambo utaona tu watu kimya mwingine anaongeza A/c bila kujua hapo ndipo anaharibu kabisa,mwingine atafungua dirisha mdogo mdogo tu mpk hapo unajua tu tayari mambo ni moto.
[emoji1][emoji1][emoji1]Hapo ni kweli kabisa,nikiwag nafanya staff zangu sipendagi ujinga kabisa.
 
Hapo ndo huwa nakupenda Taibali.

Tupige trip ambayo sio ya kuchosha (isiwe ndefu sana) ili tufurahie mazingira pia. Tukirudi tuna kandana (massage) kuondoa uchovu wa mikono, mabega na shingo.

Kama daraja/barabara ya Saadani Pangani imekamilika, tupange kwenda Tanga ila tunapita Saadani Parks kisha tunatokea geti la kuelekea Pangani hapo tunaenda Tanga tunaambaa na upepo wa bahari kisha tunarudi via wami msata kisha kiotani [emoji12].

Just the two of us [emoji6].

View attachment 1718216

Snacks ntakuwa nazo za aina zote [emoji39][emoji39].
Ngoja nikaoshe baiskeli yangu [emoji1]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom