Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
AmenJamani Karma na wale crushes wengine, marafiki wa dhati, washikaji na wapendwa wote wa RRONDO; kwa heshima na taadhima ameniomba niwaambie kuwa yeye yupo salama salmini, hana tatizo lolote kabisa. Isipokuwa tu atakuwa nje ya Jf for a month ila atarudi. Ameshukuru pia kwa upendo wenu[emoji120][emoji120][emoji120]
Amen
Ila kuna watu wanapendwa aisee. Wengine tukipoteaga hata mwaka hakuna anayetuulizia hapa dah! Halafu huyu mwamba anauliziwa na mabinti tupu...na hata taarifa za usalama wake zimeletwa na binti. Kuna la kujifunza hapa wallahi. RRONDO, I salute you bro [emoji122][emoji122][emoji122]
Asante Yesu kama yuko salama.nilikuwa na wasiwasi ujue.mwambie Chakorii anamsalimu sana.Jamani Karma na wale crushes wengine, marafiki wa dhati, washikaji na wapendwa wote wa RRONDO; kwa heshima na taadhima ameniomba niwaambie kuwa yeye yupo salama salmini, hana tatizo lolote kabisa. Isipokuwa tu atakuwa nje ya Jf for a month ila atarudi. Ameshukuru pia kwa upendo wenu[emoji120][emoji120][emoji120]
Asante Yesu kama yuko salama.nilikuwa na wasiwasi ujue.mwambie Chakorii anamsalimu sana.
😃😃😃mama mchungaji bhana...Sawa crush #2, nitazifikisha[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji2][emoji2][emoji2]mama mchungaji bhana...
Kwenye ule uzi tulikuwa wanne karma alikuwa ni watatu ama wa nne[emoji1][emoji1]
Nilipoanza kufuatilia comments za juu kabla sijaiona comment yako uliyosema yuko salama...wallah tumbo la mchango lilinikata nikahisi kama kuna kiwembe kimepita tumboni chwaaaaaaa[emoji17][emoji17]
Habari nzuri kutoka kwako imeufariji moyo wangu...Hallelujah.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣asipokuja F yule sijui kwakweliSasa wewe si ndiyo umekuja wa pili, bado wenzeni hawajafika. Atakayekuja atakuwa namba 3[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
itakuwa labdaKuna kuibiwa simu au kupoteza! Huenda yuko kwenye kitochi kwa muda!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]asipokuja F yule sijui kwakweli
Hahaha bila kuwasahau na Wanyakyusa pia. Kuna Mnyakyusa mmoja humu wengi tunampenda sana na tunaompenda wengi ni wanawake utakuwa umeshamjua.Hahahaha Mtumishi nakukumbusha tu kuwa mimi sio binti, ni mmama.
Ni kuishi tu na watu vizuri; si uliona kwenye birthday yako mabinti walivyotiririka na wishes. Nyie wasukuma sijui mna nini na mabinti.
Amen. Nimefurahi kusikia hivyo.Hahahah daah mdogo angu umepatikana mwaka huu. Basi uwe na amani kabisa, crush wako yuko byeee
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Amen
Ila kuna watu wanapendwa aisee. Wengine tukipoteaga hata mwaka hakuna anayetuulizia hapa dah! Halafu huyu mwamba anauliziwa na mabinti tupu...na hata taarifa za usalama wake zimeletwa na binti. Kuna la kujifunza hapa wallahi. RRONDO, I salute you bro [emoji122][emoji122][emoji122]
Hahaha bila kuwasahau na Wanyakyusa pia. Kuna Mnyakyusa mmoja humu wengi tunampenda sana na tunaompenda wengi ni wanawake utakuwa umeshamjua.
[emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2]Aisee ni nani huyo, mbona jina halinijii? Ning'ate sikio basi
[emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2]
Shaka ondoa, hata ID ya Watu8 ishawahi zushiwa kifo na uzi juu...kisa tu haikuwepo hewani kwa miaka
[emoji4]
We si umetupa jongoo na tawi yake Kasinde...
Hadi unapata RR kama ni Watu8
Ila jamaa anapendwa. Akirudi atumie fursa ipasavyo. Watu waende trip ya Idd waki burudika na korosho njiani. Joking. Tunashukuru kama yuko poa.
Amen
Ila kuna watu wanapendwa aisee. Wengine tukipoteaga hata mwaka hakuna anayetuulizia hapa dah! Halafu huyu mwamba anauliziwa na mabinti tupu...na hata taarifa za usalama wake zimeletwa na binti. Kuna la kujifunza hapa wallahi. RRONDO, I salute you bro [emoji122][emoji122][emoji122]
Ayayaya nimeipita barabara ile.. ndipo nilipoweka average ile ya 134kmph. Nilikuwa naitafuta Runzewe nadhani. Yani unakaa 180 mpaka inaanza kufeel like 100, unatamani utoe limiter mshale uzunguke. One of the best roads to drive fast.
Alipatwa na nini huyo?