Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Jamani Karma na wale crushes wengine, marafiki wa dhati, washikaji na wapendwa wote wa RRONDO; kwa heshima na taadhima ameniomba niwaambie kuwa yeye yupo salama salmini, hana tatizo lolote kabisa. Isipokuwa tu atakuwa nje ya Jf for a month ila atarudi. Ameshukuru pia kwa upendo wenu[emoji120][emoji120][emoji120]
Amen

Ila kuna watu wanapendwa aisee. Wengine tukipoteaga hata mwaka hakuna anayetuulizia hapa dah! Halafu huyu mwamba anauliziwa na mabinti tupu...na hata taarifa za usalama wake zimeletwa na binti. Kuna la kujifunza hapa wallahi. RRONDO, I salute you bro [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hahahaha Mtumishi nakukumbusha tu kuwa mimi sio binti, ni mmama.

Ni kuishi tu na watu vizuri; si uliona kwenye birthday yako mabinti walivyotiririka na wishes. Nyie wasukuma sijui mna nini na mabinti.
Amen

Ila kuna watu wanapendwa aisee. Wengine tukipoteaga hata mwaka hakuna anayetuulizia hapa dah! Halafu huyu mwamba anauliziwa na mabinti tupu...na hata taarifa za usalama wake zimeletwa na binti. Kuna la kujifunza hapa wallahi. RRONDO, I salute you bro [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Jamani Karma na wale crushes wengine, marafiki wa dhati, washikaji na wapendwa wote wa RRONDO; kwa heshima na taadhima ameniomba niwaambie kuwa yeye yupo salama salmini, hana tatizo lolote kabisa. Isipokuwa tu atakuwa nje ya Jf for a month ila atarudi. Ameshukuru pia kwa upendo wenu[emoji120][emoji120][emoji120]
Asante Yesu kama yuko salama.nilikuwa na wasiwasi ujue.mwambie Chakorii anamsalimu sana.
 
Sawa crush #2, nitazifikisha[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
😃😃😃mama mchungaji bhana...

Kwenye ule uzi tulikuwa wanne karma alikuwa ni watatu ama wa nne😄😄

Nilipoanza kufuatilia comments za juu kabla sijaiona comment yako uliyosema yuko salama...wallah tumbo la mchango lilinikata nikahisi kama kuna kiwembe kimepita tumboni chwaaaaaaa😔😔

Habari nzuri kutoka kwako imeufariji moyo wangu...Hallelujah.
 
Sasa wewe si ndiyo umekuja wa pili, bado wenzenu hawajafika. Atakayekuja atakuwa namba 3[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
[emoji2][emoji2][emoji2]mama mchungaji bhana...

Kwenye ule uzi tulikuwa wanne karma alikuwa ni watatu ama wa nne[emoji1][emoji1]

Nilipoanza kufuatilia comments za juu kabla sijaiona comment yako uliyosema yuko salama...wallah tumbo la mchango lilinikata nikahisi kama kuna kiwembe kimepita tumboni chwaaaaaaa[emoji17][emoji17]

Habari nzuri kutoka kwako imeufariji moyo wangu...Hallelujah.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] atakujaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]asipokuja F yule sijui kwakweli
 
Hahahaha Mtumishi nakukumbusha tu kuwa mimi sio binti, ni mmama.

Ni kuishi tu na watu vizuri; si uliona kwenye birthday yako mabinti walivyotiririka na wishes. Nyie wasukuma sijui mna nini na mabinti.
Hahaha bila kuwasahau na Wanyakyusa pia. Kuna Mnyakyusa mmoja humu wengi tunampenda sana na tunaompenda wengi ni wanawake utakuwa umeshamjua.
 
Amen

Ila kuna watu wanapendwa aisee. Wengine tukipoteaga hata mwaka hakuna anayetuulizia hapa dah! Halafu huyu mwamba anauliziwa na mabinti tupu...na hata taarifa za usalama wake zimeletwa na binti. Kuna la kujifunza hapa wallahi. RRONDO, I salute you bro [emoji122][emoji122][emoji122]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hata wewe tunakupenda ila tu hupendeki (kidding)
 
Amen

Ila kuna watu wanapendwa aisee. Wengine tukipoteaga hata mwaka hakuna anayetuulizia hapa dah! Halafu huyu mwamba anauliziwa na mabinti tupu...na hata taarifa za usalama wake zimeletwa na binti. Kuna la kujifunza hapa wallahi. RRONDO, I salute you bro [emoji122][emoji122][emoji122]

Aaahahahahhahaaaa

Wanasemaga simba mwenda pole ndo mla nyama ......

Please don’t quote me...😅😅😅😜
 
Back
Top Bottom