Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mkuu upo?
 
I'm back Chakorii was off for a while to recharge...thanks for being considerate
 
Thanks brother...nipo salama salimini. Nilipumzika tu kidogo.
 
Ubarikiwe ma'am
Yeah kikubwa ajitokeze tufahamu tu kama yuko salama! Ni wengi sana wamepotea jf kwa sasa ila huwa tunawakumbuka na kuwaulizia wale ambao tunawakubali au wale ambao tumezoea sana kuona michango yao humu!
Niko salama salimini Karma thanks again for caring.
 
Nikiingia barabara ya vumbi nakosa amani kabisa. Sedan Raha kwenye lami tu
 
Nilipumzika tu. Huwa natumia simu za kawaida ikiibwa asubuhi nanunua mchana! Mambo ya kutumia simu ikiibwa unapata ugonjwa wa moyo nilishaacha zamani sana.
Hahaha sema uliposepa tuligundua tofauti yako na Tupac ni kuimba tu 😂😂😂 akina mwaisa wanakukubali sana braza!!!

Kunae mrembo anama feeling kinyama ila ndio vile tena anagwaya kujipeleka kibla. Huko alipo atakuwa anapiga Pepsi Bigi kukuona umekomenti hapa😂
 
Yote hayo ni kuishi na watu vizuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…