Halina mwendo hilo(td42),ikiwa Y62 hapo poa.
hii mwaka huu ni lazima iingie kwenye parking yanguHio E350 balaa
kuna kipindi mkuu haina namna, unakuta kazi inakutaka ufanye hivyo. Hasa kwa tulio jiajiri, ukilala na kila kitu kinalala na unaweza poteza wateja.. inabidi una jitoa haswaa.. ila na mda wa kupumzika na pumzikaa haswaaPole sana kwa safari ila una uwezo mkubwa sana wa kuvumilia kuangalia barabara kwa muda mrefu......umebarikiwa
Tatizo umezoea story za vijiwe vya kahawa yaani kitoto cha miaka miwili kimpite mbio mwenye miaka 6 ?Passo mbona inatembea mzee unaweza kuichukulia poa ila ukiikaa vibaya ile gx 100 hutaona nilipopita
In sha Allahhii mwaka huu ni lazima iingie kwenye parking yangu
Situmii kitu chochote mkuu. Tokea juzi hadi leo nimemaliza 1748KM 😬😬😬.. kuanzia kesho ni bata tu sigusi tena gari hadi next week kuanzi alhamisiDuh unatumia nini kudhibiti usingizi?!!
Wapi hapa?raha ya road trip
View attachment 1783858
Utalii wa ndani unaburudisha sanaUtalii wa ndani .. usiolipiwaView attachment 1783857
Gairo - Morogoro kwenye hifadhi kule ndani ndani kabisa kwenye milimaWapi hapa?
sehemu hiyo nilikuwa mbaya ila ina view nzuri,maana tulikuwa juu kabisa kwenye milima ya mehengeUtalii wa ndani unaburudisha sana
Gairo - Morogoro kwenye hifadhi kule ndani ndani kabisa kwenye milima
Nimevuta picha aisee ile fatigue dah! Mi nalalaga sana njianiSio mbaya ila hujapumzika ndio hatari ilipo.