Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hivi wabongo na ujuvi wao wote wa uchakachuaji, wamshindwa kuchakachua hizo limiter, kitu igonge angalau 220kph .?[emoji23][emoji119][emoji119]
Wapo wanatoa. Ila wanabei kichaa nilisikia 2m. Kuna jamaa ana Crown 2GR katoa limiter ni balaa.
Kha! Wanakupa na bima comprehensive ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…