Power ndogo tatizo!Wakorea wako vizuri sana sehemu nyingi tu, lakini bidhaa zao zipo lower end na higher end kuteteneana na walaji.
Nilitumia Hyundai Tucson 2.0 manual ya Singasinga fulani Mbeya ndiyo chanzo cha kununua yangu.
At top speed gari bado imetulia, spea nyingi ni original, hapo Dar mtaa wa Shaurimoyo kuna agent wa KiA na Hyundai. Pia mashine za diagnosis zinasaidia kupunguza mafundi kuchokonoa pasipohusika.
Achana na Sante Fe, go for 'Tucson'
Kama ilivyo kwa laptop Dell Latitude vs Dell zingine of the same spec.
Bei zimechangamka! Ila hilo goma hakuna cha VXR wala ZX hapo!
Hizo bado sanaaa... mkuu, naamini nikifikia uwezo wa kununua kama hiyo, basi nitaenda moja kwa kwa Ferrai f12 😂😂😂 au AMG G63Bei zimechangamka! Ila hilo goma hakuna cha VXR wala ZX hapo!
Ukiweka oil zake mafuta total na puma mbona ziko mwakeMbona wataalam wa jf humu wanaziponda Sana hizo Noah new model,? Kumbe zinapigishwa route za hatari.
Tatizo la Noah wameunda na bati jepesi sana halafu Noah ni li...Van likuuubwa, injini kubwa...uzito mkubwa..[emoji23]Nilishawai ipamia noah na pick up mlangoni ikawa km imegongwa na tren[emoji23][emoji23][emoji23] nikiifikiria ile body afu vjn wa kusafirisha gazet wanavopepea na hizo noah cna ham nao[emoji119]
Ukishusha kioo au ukigonga mbwa tu, vurugu yake ndiyo utajua huo mwendo si mdogo..[emoji119][emoji119][emoji119]180kph ni speed ndogo sana..
...na ikidisa unaikamata, una assume ni gear lever ya manual......[emoji85][emoji85][emoji85]Kuna wakati gari inakimbia hadi nanihii inadisa
Ukigonga mbwa inakuaje asee 😃😃Ukishusha kioo au ukigonga mbwa tu, vurugu yake ndiyo utajua huo mwendo si mdogo..[emoji119][emoji119][emoji119]
Ndio kaka wanatumia old model wanatoka dar ucku alfajir wanakua arusha wanapumzika mchana then ucku wake wanageuka mwendo ni ucku kwa ucku.Hao wasafirisha magazeti hutumia Noah old model au ? Hua wanakwenda Arusha na kurudi next day au?
huenda wenye hela hawajizipenda , ila watoto wa upanga sidhani kama hazipo kabisa 😀😀Tz hamna hio.
Speed 180 ugonge mbwa na haya magari ya siku hizi mabampa ni fibre, unaweza ukahisi uligonga pundaUkigonga mbwa inakuaje asee [emoji2][emoji2]
😆😆😆😆😆😆😆.. barabarani kuna mambo mengi sanaSpeed 180 ugonge mbwa na haya magari ya siku hizi mabampa ni fibre, unaweza ukahisi uligonga punda
Embu jazia jazia nyama hapaKuna jamaa alishaweka ya 4hrs, Jamatini Dom - Ubungo mataa. VXR V8
Haikuwa ligiEmbu jazia jazia nyama hapa
Mchana ama usiku?Haikuwa ligi
Ilitokea tu kwa dharura
Akajikuta ameweka rikodi
Ilikuwa gari ya Serikali.
Inawezekana; maana kama Dom-Dar ni takribani kilomita 442, hivyo jamaa kama alikuwa akitembea kwa wastani wa 145-150 kph, masaa 3 anaweza. Ila kwa barabara zetu hizi na matuta ya viazi ya kutosha sijui kama ni realistic!Haikuwa ligi
Ilitokea tu kwa dharura
Akajikuta ameweka rikodi
Ilikuwa gari ya Serikali.
Hao wa serikali hawana 50kph. Pia matuta anayaruka tu kwahio anapoteza muda kidogo sana.Inawezekana; maana kama Dom-Dar ni takribani kilomita 442, hivyo jamaa kama alikuwa akitembea kwa wastani wa 145-150 kph, masaa 3 anaweza. Ila kwa barabara zetu hizi na matuta ya viazi ya kutosha sijui kama ni realistic!
Yaani Dar-Dom kama linapatikana li Autobahn letu, hata masaa 2+ kwa mtu mwenye gari yenye 260+ inawezekana.