Mungu akujaalie.Nakubaliana na wewe.
Tangu niko chuo sijawahi kutamani kuajiriwa hasa serikalini na sijawahi kuomba serikali na nina furaha naelekea kujitegemea mwenyewe miaka 2 ijayo...
Mzee tutakutana barabarani huko[emoji16][emoji16][emoji16]
Mungu akujaalie.
Acha uchoyo mkuu
Na ndicho haswaa ninacho kwepa. Huwa natumia mda mfupi sana kufika ninapo enda..Watu wa mbio wanapenda usiku hamna usumbufu wa wale jamaa zetu
Makini sana.Duh inabidi kuwa makini ukiendesha usiku
Unaionea huruma gari yako. Inabidi upaki uchungulie uvunguni kama vyuma vyote vipo.Unapiga shimo hadi unasikia tumbo linakata!
Namaanisha ukiwa unaendesha. Binafsi sipendi kuendesha nikiwa sijui wapi nilipo. Unajikuta unaendesha tu.Safari ya usiku haijawahi kuniboa
Yaani na enjoy haswaa
Hio njia kuna sehemu kuna michoro kama tuta. Ilinizingua sana usikuMakini sana.
Pale Mwanga karibu kabisa na himo, nilipiga shimo mpaka nikapaki pembeni kusikilizia maumivu.
Wakati narudi ndo nikapaona vizuri. Hapafai hata kukimbiza gari iwe mchana au usiku.
Utakosa lift wewe lete upambe tu
Na tulikuwa na Low Profile sasa.Ukifanya mchezo utapindisha rim...wenye low profile lazima walie
Ubaya wa usiku pia unaweza ona chombo kina taa moja ukadhani pikipiki kumbe ni gari ina taa moja.Hio njia kuna sehemu kuna michoro kama tuta. Ilinizingua sana usiku
Hapo hujakuta Lori limekufa halina reflectorUbaya wa usiku pia unaweza ona chombo kina taa moja ukadhani pikipiki kumbe ni gari ina taa moja.
Kuna siku huko same niliona kichaka kinatembea, kumbe watu wanasafirisha mazao yao kwa trekta. Sasa ukiwa kibati lazima ule mzinga.
Hata uwe na Laser lights bado kuendesha usiku ni changamoto.
[emoji120][emoji120]Ahsante dia 1. Nimekutumia mzigo WhatsApp
😃😃😃😃.. Ikungi hapa.. majira ya saa mbili usiku nipo mwanza the cask 😄😄😄
Hizo low profile ni kwa hapahapa mjini, maana Kuna siku nilipiga shimo kutahamaki mbili zikawa flat ndo toka siku hiyo nikiwa trip huwa nabadilishaUkifanya mchezo utapindisha rim...wenye low profile lazima walie
Nimekumiss Miss ModI love long drives!
Ukiwa njiani kurudi, pandisha Lushoto. 60 Kms kutoka Lushoto town kuna kijiji kinaitwa Mambo. Hali ya hewa ni njema Sana, highest point na unaona pare and sambaa land around you. Network ya simu ni ya shida na hakuna TV. Ukikaa siku 2 tu utarudisha nyuma umri wako kwa miaka 10.
Enjoy your trip mazee