Usemayo ni kwel tupu kk ila kuna vjn jamii mfano uko pande za moshi hio cent utakayotoa ht home haifik inaishia bar ndg yng.Inawezekana labda hali ilikuwa mbaya sana na home mambo magumu.
Wanaume kuna wakati tunapitia mengi sana.
Unaamka asubuhi ramani haisomeki na familia inakutizama tu.
Labda ndo sababu 300 series inayokuja toyota kaamua kueka 10 speed autoNa Land Cruiser Series 70 ZX, Toyota Coaster na Land Cruiser Series 80 zenye injini ya 1HZ na gearbox automatic kwenye mlima huwa zinasinzia Sana kuzidi hata manual yenye injini ya 1HZ.
Nazo Toyota aliweka gearbox ya 4-speed.
Sasa hiyo Toyota Coaster yenye 1HZ na nia auto ukiipa mzigo wa abiria Kisha ukutane na mlima inajivua gia mpaka namba 1 Kisha inalalamika na haiendi,ukizidisha kukanyaga mafuta ndio unaongeza kelele na spidi kidogo.
Amen, mola awape subra wafiwa ktk hiki kipindi kigumu tuko pa1 nae.[emoji120]Nimeona Mshana amepost Saint Anne amefiwa na baba yake.
Napenda kumpa pole mdau mwenzetu na Mungu amtie nguvu kipindi hiki kigumu kwake na wanafamilia.
Roho ya marehemu ipumzike kwa amani.
Wala usifike chalinze , msolwa tu hapo unakunja kushoto , waja tokea msoga uani kwa mstaafu rais,Wakati narudi Dar from Dodoma nilitaja kupost kuhusu hii kadhia. Nilikaa 2 hours kutoka kwa Mathias mpaka Picha ya ndege.
This time nikiwa narudi sirudii ujinga, nikifika Chalinze naminya kushoto Msata.
Nissan Patrol Lina maajabu yake, likilala upande linarudi taratibu ila Land Cruiser au Land Rover Defender ukijaribu lazima likumwage.Yes. Na ukipiga race inachutama upande
Ila ki uhalisia hii ya msoga bado ni ndefu sana. Rahisi ni kupitia mile moja unatokea baobab dakika 25 nyingi hicho kipandeWala usifike chalinze , msolwa tu hapo unakunja kushoto , waja tokea msoga uani kwa mstaafu rais,
Yawezekana lakini ni wale masela wakukaa vijiweni, hawataki kazi ngumu na shule walikimbia...familia hawanaInawezekana labda hali ilikuwa mbaya sana na home mambo magumu.
Wanaume kuna wakati tunapitia mengi sana.
Unaamka asubuhi ramani haisomeki na familia inakutizama tu.
Mungu awafanyie wepesi..Vile hatujuani..tungechanga hata 5000 kwa kila mtu tumpe poleNimeona Mshana amepost Saint Anne amefiwa na baba yake.
Napenda kumpa pole mdau mwenzetu na Mungu amtie nguvu kipindi hiki kigumu kwake na wanafamilia.
Roho ya marehemu ipumzike kwa amani.
Kweli mkuu, inaudhi sana mtu akupige mzinga halafu akae bar...na mbaya zaidi mimi sinywi alcohol kabisa..Usemayo ni kwel tupu kk ila kuna vjn jamii mfano uko pande za moshi hio cent utakayotoa ht home haifik inaishia bar ndg yng.
Mazingira ninayoishi vijana na wazee hawana aibu ya kuomba omba hela....
Unakutana na mtu anakunyookea. " Sijawahi kukuomba kitu leo nipe 5000 tu"
as if ulikuwa umemuweka mwenye bajeti zako..[emoji26]
...na kinachofanya maisha ya Bongo yawe magumu ni mizinga na utegemezi..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Hii kitu inaboa
Au unafuata huduma mtu anakwambia sistaa hii chenchi si ninywe soda [emoji56]
Pole Sana ndugu yetu Saint Anne kwa Msiba.Nimeona Mshana amepost Saint Anne amefiwa na baba yake.
Napenda kumpa pole mdau mwenzetu na Mungu amtie nguvu kipindi hiki kigumu kwake na wanafamilia.
Roho ya marehemu ipumzike kwa amani.
Nimeona Mshana amepost Saint Anne amefiwa na baba yake.
Napenda kumpa pole mdau mwenzetu na Mungu amtie nguvu kipindi hiki kigumu kwake na wanafamilia.
Roho ya marehemu ipumzike kwa amani.
AmenPole Saint Anne Mungu akitie nguvu usipoteze imani, moyo huuma, huzuni hujaa ila wakati ni dawa maana akili husahau.... na muda ukienda hata ukikumbuka uchungu na huzuni haviwi kwa kipimo kile.
Haya ndo maajabu ya Mungu, ukimtegemea na kumuamini hakuachi. Roho, nafsi, utashi na akili ukijumlisha na moyo ndo utu na ndo mwanadamu.....
Linda sana moyo wako, maana ndiko zitokako chemchem za uzima.
Nawaombea mmalize shughuli za mazishi salama kwa amani na upendo. Pole nyingi zifikishe kwa familia pia.
Pokea kumbato la faraja kwa namna ya rohoni kutoka kwa bibi Kasinde.
Pole sana Anne.
Hadi ufike maili moja , ushataabika sana na kipande cha chalinze hadi kwa mathiasIla ki uhalisia hii ya msoga bado ni ndefu sana. Rahisi ni kupitia mile moja unatokea baobab dakika 25 nyingi hicho kipande
Nilipita njia ile mara ya mwisho mwanzoni mwa mwaka 2015 kwa basi Dar Express...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Njia ya Ubungo-chalinze nishaisahau hata ikoje