RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
- Thread starter
- #5,301
DuhSawa
Pia dereva akisha REST IN PEACE asisahau kututumia kapicha ka jeneza..
Sent from my itel P51 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhSawa
Pia dereva akisha REST IN PEACE asisahau kututumia kapicha ka jeneza..
Sent from my itel P51 using JamiiForums mobile app
Inabidi tupange trip (road) twende ngorongoro.. then tunachapa mwendo hadi mikumi 😊😊Amen[emoji120]
Nafarijika mno[emoji120].
Mungu awabariki.
Itakuwa heri kwangu.Inabidi tupange trip (road) twende ngorongoro.. then tunachapa mwendo hadi mikumi [emoji4][emoji4]
Basi tupange ratiba tupige trip hadi uchoke kuanzia jumapili.. hata miezi misita 😁😁Itakuwa heri kwangu.
Hapa natamani nitoke kabisa huu mkoa,niende mbali,hata kwa miezi mitatu nikae huko ila bahati mbaya sina hata ndugu.
Kwa kweli[emoji4]Basi tupange ratiba tupige trip hadi uchoke kuanzia jumapili.. hata miezi misita [emoji16][emoji16]
Nakukuta wapi, tuanze trip zetu 😊😊Kwa kweli[emoji4]
Iwe hivyo.
Welcome back Saint Anne.Amen[emoji24][emoji120]
Asanteni sana kwa faraja hii mnayonipa.
Nikiwa Kama binti mdogo na mtoto wa mwisho wa mzee,naumia kumpoteza baba yangu[emoji24]
Hii faraja mnayonipa ni baraka mno kwangu.
Mungu awabariki na pokeeni picha za trip yangu ya msibani.View attachment 1806220View attachment 1806221View attachment 1806224
Huyo Dereva [emoji3][emoji3]
Nipo nyumbani green city .Nakukuta wapi, tuanze trip zetu [emoji4][emoji4]
Basi usijali.. hapo inabidi ukwee mwewe hadi dodoma .. tuanzie trip hapa.. Au tuanzie Green city kituo cha kwanza mikumi 😎Nipo nyumbani green city .
Anayetaka aje kunichukua jamani..nitashukuru.
Hamna haja ya kukimbia namna hiyo kama hama sababu ya msingi, cruise 120 - 140k inatosha kabisa
Trip ikianzia huku itapendeza zaidi.Basi usijali.. hapo inabidi ukwee mwewe hadi dodoma .. tuanzie trip hapa.. Au tuanzie Green city kituo cha kwanza mikumi [emoji41]
😀😀😀😀.. Nitafanya kukujia huko jumanne tuanze kupiga tripTrip ikianzia huku itapendeza zaidi.
Okee[emoji120][emoji120][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. Nitafanya kukujia huko jumanne tuanze kupiga trip
Na utupe route map ili nasi tutumie nanyi kiroho japo kamwili tutakuwa mbali nanyi........good idea kwa kumliwaza mfiwa😀😀😀😀.. Nitafanya kukujia huko jumanne tuanze kupiga trip
Trip ya kwanza mbeya mikumi pale, alafu tutarudi dodoma . kituo cha kwanza hapo.. kabla ya kuendelea mbeleNa utupe route map ili nasi tutumie nanyi kiroho japo kamwili tutakuwa mbali nanyi........good idea kwa kumliwaza mfiwa
Vizuri,ila tafadhali usiendeshe kwa yale mambio yako km ndugu yake Schumacher..... Na pia nakuomba zisiwe safari za mapopo..... Huyo kitindamimba bado anahitajikaTrip ya kwanza mbeya mikumi pale, alafu tutarudi dodoma . kituo cha kwanza hapo.. kabla ya kuendelea mbele
😀😀😀 Atakuwa anaendesha yeye, na hivi tutakuwa kwenye ka gari kapya.. akiendesha itakuwa salama zaidi maana naujua mguu wangu unawasha.. washaVizuri,ila tafadhali usiendeshe kwa yale mambio yako km ndugu yake Schumacher..... Na pia nakuomba zisiwe safari za mapopo..... Huyo kitindamimba bado anahitajika