Huwa kuna tochi mitaa ya mizani hapa salasala ukiwa unatoka Mwenge kuja Tegeta. Ni pa kuangalia sana hapo,zingine ni Mapinga na Zinga kwa tunaofika Bagamoyo
Halafu sababu ya kuweka 30 hakuna. Pale hamna makazi na barabara hairuhusu watu kuvukaSijapita kitambo sana ila mara ya mwisho napita hizo limit zilikuwepo, na nilikuwa nazifuata huku nanung’unika.
Yaani tairi nzuri, mafuta yamo kwenye gari, service ya gari iko ndani ya muda, lami nyororoo yaani lainiii...... halafu niendeshe spidi 30 kweliii.....🤨🤨🤨
Kuoneana na kutiana majaribuni tuu jamani kama si kushikana ugoni.
Well ukisikia kutii bila shuruti ndo hukuu.
Yaani nikiwa zone ile naenda 30kph halafu mtu ananipita mbio nikimkuta mbele anakula cheti najikuta natabasamu....😂😂😂
Halafu sababu ya kuweka 30 hakuna. Pale hamna makazi na barabara hairuhusu watu kuvuka
Sasa Kasie mimi na wengine tunaenda 30kph wewe na Crown yako unapita na 80kph unaona Sisi wote maboya? Halafu kama mnaenda opposite direction ni rahisi kumshtua na huwa nafanya sana ILA kama mnaenda direction moja kumshtua ni ngumuBaba Bataringaya weeweee..... bad of you...
Unatakiwa umtaarifu dereva mwenzio hata kwa signals jamani tuokoane barabarani.
Mie kuna kipindi posta waliweka mtindo wa hii barabara hairudi/one way inaingia tuu wakati mwezi mmoja nyuma ilikiwa inapitika njia zote.
Sasa ikawa Askari wanakaa mbele kama mita 300 kiasi huwezi geuza wakimbia. Aiseeh watu walikuwa wanakula fine halafu asubuhi mtu anawahi kazini.
Mie nilikiwa nikipita kwa miguu au gari mtu akitaka kukatiza ile njia inayotoka round about ya azam kwenda round about ya extelecoms namzuia utakamatwa na askari hiyo njia haiendi.
Wabishi walikuwa wananikumbuka mbeleni huko, waelewa waliepushwa na fine.
Emagine hakuna sign inayoonesha barabara haiingii halafu mbele unakamatwa.....🤔.
Mapato yamepungua..🤭🤭
Wahenga wanasema, ukifika ugenini ukikuta wenyeji wanalala uchi, na wewe lala uchi....Pricipal yangu kwenye njia ngeni ni kwamba nafuata speed ya wenzangu. Haiwezekani watu wote waendeshe mdogo mdogo, kuna namna.
Sasa Kasie mimi na wengine tunaenda 30kph wewe na Crown yako unapita na 80kph unaona Sisi wote maboya? Halafu kama mnaenda opposite direction ni rahisi kumshtua na huwa nafanya sana ILA kama mnaenda direction moja kumshtua ni ngumu
Ndio sababu nikiwa Dar napendelea kuendesha pikipiki mchana... gari mishe za nightHalafu sababu ya kuweka 30 hakuna. Pale hamna makazi na barabara hairuhusu watu kuvuka
Utashangaa kuna joints mpya Kali sana
Acha kabisa aise barabara mbaya sijapata kuona! Nilikuwaga nasikia tu kuwa Nyang'oro kuna kona mbaya kuliko hata Kitonga nikawa nabisha maana mimi nilikuwa naamini Kitonga ndiyo kuna kona mbaya ila jana ndiyo nikajionea mwenyewe!Hapo semi trailer za kubeba mbao huwa zinaingia porini zenyewe[emoji3]
Au RadarbotPia inabidi nirudishe ile app ya police camera signal, inasaidia.
Yaani acha tu hapo kama siyo dereva mzoefu unachochora au unagongana na mwenzio! Madereva wa mabasi ya abiria au malori ya mizigo wanaofanya safari zao mara kwa mara kupitia kipande hiyo wana moyo sana!Dah hii njia inakona mpaka kero acha kabisa
Vizuri mkuu! Mie natamani nipate tena safari via hiyo road!Wiki ijayo nashuka hii milima... [emoji39]
Kitonga jina kubwa tu ila hamna ishu.Acha kabisa aise barabara mbaya sijapata kuona! Nilikuwaga nasikia tu kuwa Nyang'oro kuna kona mbaya kuliko hata Kitonga nikawa nabisha maana mimi nilikuwa naamini Kitonga ndiyo kuna kona mbaya ila jana ndiyo nikajionea mwenyewe!
Kweli kwa Nyang'oro Kitonga inasubiri aise! Maana Nyang'oro kuna kona mbaya halafu barabara zake nyembamba kuna sehemu mnapita hadi unajiuliza hivi hapa magari mawili yanapishana kweli hapa bora hata Kitonga kona zake zina space kidogo!
Halafu Kitonga huwa panachukua takriban dakika 10 kupamaliza ila Nyang'oro ni karibu dakika 20 hivi! Ila zaidi ya yote nimependa ile view ya Mtera Dam inavyoonekana kwa chini!