Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mkuu hii jana nimefuta sahani, nikashangaa watu wanao sema huwa hazifiki hadi mwisho 😀😀😀

CIMG4168.JPG
 
Hii gari niliipa sana sheeda ya kutosha. Nilinunua 2013 ishapiga sana arusha mwanza singinda huko nzega sijui wapi. enzi hizo ninayo mm na mwarabu mmoja hivi yupo Upanga. After few years nikaona vijana wananunnua nnua kama njungu. sasa mm nikaiuza. Sasa hivi nimehama huko nipo kwenye V8 ya Chini, Majesta gear 8. chombo ninatizo kina hama kama akina akili nzuriView attachment 1811789

View attachment 1811792
Majesta ni chuma hiki 😋😋
 
Back
Top Bottom