Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Ila ukiwa unaenda dodoma fupi ni ya manyoni, kuliko kupitia nzega.. mkeka ni mtaaamu sanaa.. nachopendea hakuna unafiki wa trafic kule.. unatembea tani yakoDodoma to Tabora via Manyoni na Itigi sio? Aisee bonge la mkeka kona kitu gani tuko na sedans mkuu?
Mimi nilitumia 3 hours Nkuhungu to Tabora, trip meter hiyo hapo, 127kmph average. Ile lami ni tamu MNO!
View attachment 1815749
Tabora Nzega pia ni burudani ila pafupi only 120km wakati Tabora to Manyoni ni around 250km.
Napajua vizuri sana, pale na mie ndio chaka langu pale palePamekaa kilocal pale ila wanapush mdudu vibaya mno aisee.. pale oppostite na st anna mission hospital ndio chimbo langu
Amin mkuu. Insha'AllahMie kesho ilibidi nirudi dodoma ila naona umegoma... chapa mwendo mkuu wangu. MUNGU akutangulie
Sana mkuuMboka manyema. Town ya kishashi sana ile.
-Kaveli-
Yani kuna mikeka hata askari wanajua kutuzuia kumwaga moto ni unyanyasaji, wanatuacha tutembee tu.Ila ukiwa unaenda dodoma fupi ni ya manyoni, kuliko kupitia nzega.. mkeka ni mtaaamu sanaa.. nachopendea hakuna unafiki wa trafic kule.. unatembea tani yako
Mboka ina ka utamu wake 😀😀Mboka manyema. Town ya kishashi sana ile.
-Kaveli-
Mboka ina ka utamu wake 😀😀
Naona kibao hicho. Yani barabara inapiga U turn. Hatari sana ukiingia kichwa kichwaChunya road! Kwenye zile kona zetu za mkoa!
Nimesikia jana kuna ajali imeua watano kwenye hii barabara ila sijajua ni wapi exactly! Leo matraffic wamejaa kila kona wamechachamaa wanataka level seats tu abiria yeyote anayezidi anashushwa njiani!
Sema hii barabara nayo ni kisanga kingine! Kona kali sana japo nayo ina breath-taking views kama zote!View attachment 1810812View attachment 1810815
Acha tu mkuu barabara inapita juu ya milima na kuna sehemu kule juu lazima mkutane na yale mawingu yanayosababisha ukungu barabarani kwahiyo dereva inabidi uende mdogo mdogo tu hamna namnaNaona kibao hicho. Yani barabara inapiga U turn. Hatari sana ukiingia kichwa kichwa
Ni wapi huko?Kuna pisi pale zenye 'rangi mseto' hadi laana.
Mboka ukifungua duka la 'mikorogo' utapiga pesa zaidi ya bizna ya ngada.
Wanyamwezi wana mambo sana. Ila ni watu poa. Hawana noma.
-Kaveli-
Yeah kule Morogoro ndani ndani nako kuna barabara zina kona mbaya acha kabisa halafu nyingine hazina hata mkekaKuna ndororo pia kama unaenda mahenge.ni nouma kama unapiga u turn.sijawahi kuona semi kule maana kuna kona ya hatarh halafu mlima ni mkali
Fanya kile unachopenda mkuu. Mfano mimi siogopi kufa na mambo na raha za dunia najuaga ni vitu vya kupita, kipindi tunapita lazima kukamua kile upendenacho😀😀. Tumezaliwa watupu na tutaondoka watupu.
Mahenge ni shida, kote huko nimepita. Ila kwa mahenge huwa nina enjoy view ukiwa juu kuleKuna ndororo pia kama unaenda mahenge.ni nouma kama unapiga u turn.sijawahi kuona semi kule maana kuna kona ya hatarh halafu mlima ni mkali