Mimi naogopa sana hio kitu. Nimegundua ina addictionIk
ikitokea, itakuwa imepangwa na Mungu, Nimeanza kutumia hizi machine ya mkoloni tangu 1998, Sijapata nazo ajali, na naivuta mpaka 240kph kwenye barabara ninayo-ielewa vizuri.
Ni kweli hiyo addiction imeninasa.Mimi naogopa sana hio kitu. Nimegundua ina addiction
acha tu..hiyo VX miaka miwili ijayo ntakupigia uje uionje siku inatoka bandarini pale...nshaiwekea mikakati fedha..1HD FTE, manual,turbo,diff lock,mama.e...roho ipo hapo miaka kibao,Mungu atupe uhai ...😀Huwa naangalia mtu ana VX au Mercedes S class anaendeshwa nasema hiiiiii.....dereva ndio anainjoi zaidi!
Last year usiku nilikuwa napiga hadi 180kph ila ukipishana na gari huoni mita 10 mbele for few seconds. Usiku hatari sana.Kuna Benz GLE la mshikaji mmoja nilisafiri nalo mwaka jana.
Likiwashwa full unaona 200M mbele. Kila kitu clear.
Halafu huyo jamaa alikuwa anafukia 220kph maeneo ya Same.
Wapo watu na Courage. Mi hata 150kph siendeshi usiku.
Mungu akujaalie ndoto yako itimieacha tu..hiyo VX mika miwili ijayo ntakupigia uje uionje siku inatoka bandarini pale...nshaiwekea mikakati fedha..1HD FTE, manual,turbo,diff lock,*****...roho ipo hapo miaka kibao,Mungu atupe uhai ...😀
me pia,zamani kabla ya kuwa na familia ndio ilikuwa raha yangu...now nikifika 140 naona wanangu na mama chanja kwenye kisahani....naachia mpk 110,basiii....Mimi naogopa sana hio kitu. Nimegundua ina addiction
Nilifika irente nikashangaa kuona sehemu ingine juu zaidi. Kulikuwa na majengo fulani mapya yanaonekana from irente.Irente sio highest point in Lushoto. Mambo ndio highest na ipo km 60 kutoka irente
Kweli mkuuRaha ya hizi trip uipange taratibu
Kama unataka Discovery 3/4 kutoka South Africa mtafute Isanga family atakutafutia minadani na kuileta mpaka Border.Online au?
Tayari nimemcheki msouth mmoja but ntamwendea Isanga family kwa ushauri zaidiKama unataka Discovery 3/4 kutoka South Africa mtafute Isanga family atakutafutia minadani na kuileta mpaka Border.
Safi sana Bike Rider.Ik
ikitokea, itakuwa imepangwa na Mungu, Nimeanza kutumia hizi machine ya mkoloni tangu 1998, Sijapata nazo ajali, na naivuta mpaka 240kph kwenye barabara ninayo-ielewa vizuri.
Kuna bike ukiwa nayo Kwa Sheria zetu hizi za 50kph unamfata mdogo mdogo mtu mwenye gari na mtafika wote salama.
Kuna Safety Gear za kuendeshea pikipiki kuanzia Helmet,Gloves,Jacket,Tracks na Viatu. Sio kama tunavyoendesha kienyeji hapa Bongo.Sipati picha kupambana na upepo dar to Arusha au Mbeya
Wa kuhofia ni wenye magari makubwa.. wala ni watu hatari kweli kweliLast year usiku nilikuwa napiga hadi 180kph ila ukipishana na gari huoni mita 10 mbele for few seconds. Usiku hatari sana.
New RR beam unaona 500m. Pia Navara mpya hizi zina taa Kali sana