Safari njema Mkuu, safety firstNategemeaa by saa 08:00Am niwe Lamadi(Musoma) kwa Roho Mtakatifu
Aah heri sasa hivi ni viraka, last yr b4 kampeni za uchaguzi yalikuaga ni mahandaki ya kufa mtuuu. Ulikua unatembea kwa kuhama lanes af hamadi unakutana na handaki limejaa barabara nzima hakuna pa kukwepea af upo kibati, tangu hapo sina hamu na ile njia. Used to luv kunyoosha mguu kidogo on weekends Kms 300+ zile za Dom - Mtera - DomIringa_Dom vile viraka[emoji119]
Usiwe unajaza full tank kama unatoka Bara (nje ya source ya mafuta)Asante mkuu shukuran sana nitakuwa mwangalifu sana mdomdo natoka Mbeya (full tanks)
Nishapiga tuta....Aah heri sasa hivi ni viraka, last yr b4 kampeni za uchaguzi yalikuaga ni mahandaki ya kufa mtuuu. Ulikua unatembea kwa kuhama lanes af hamadi unakutana na handaki limejaa barabara nzima hakuna pa kukwepea af upo kibati, tangu hapo sina hamu na ile njia. Used to luv kunyoosha mguu kidogo on weekends Kms 300+ zile za Dom - Mtera - Dom
Lamadi ndio makao makuu ya wilaya ya Busega- SimiyuNategemeaa by saa 08:00Am niwe Lamadi(Musoma) kwa Roho Mtakatifu
Vumbi la uswazi lina raha yake mkuuDuh wengine tunakula vumbi huku uswahilini
Nikiwa na gari kama hiyo hobby inakuja automatically.Hii hobby we acha tu....
Mahandaki[emoji38][emoji119]Aah heri sasa hivi ni viraka, last yr b4 kampeni za uchaguzi yalikuaga ni mahandaki ya kufa mtuuu. Ulikua unatembea kwa kuhama lanes af hamadi unakutana na handaki limejaa barabara nzima hakuna pa kukwepea af upo kibati, tangu hapo sina hamu na ile njia. Used to luv kunyoosha mguu kidogo on weekends Kms 300+ zile za Dom - Mtera - Dom
Ndiyo [emoji4]Safi sana. Una refresh mind
Hongera.Nikiwa na gari kama hiyo hobby inakuja automatically.
Ila mmeniambukiza kupiga trip ..ndani ya wiki nimepiga trip za kutosha na bado naendelea.
AsanteeHongera.
Father nimemcheki jamaa mmoja yuko Arusha nimemtumia picha, budget alonipa nimetulia kwanza kwa sasa nisugue sugue tu na hii 1KZ mpaka nitapopata hiyo hela asee.Fufua hio gari.
Ni kweli gharama huwa kubwa. Inabidi uwe na passion. Ila ni project ya muda mrefu.Father nimemcheki jamaa mmoja yuko Arusha nimemtumia picha, budget alonipa nimetulia kwanza kwa sasa nisugue sugue tu na hii 1KZ mpaka nitapopata hiyo hela asee.
Plate namba Initials za jina la mtu nimpendae
Hahaha naikumbuka sana hii mkuu. VX zimenifanya nienjoy sana leo.Kuna sehemu sikumbuki jina ila ulikuwa unafukuzana na ile VX yenye mzigo uliofunikwa na turubai juu[emoji23][emoji23]
HongeraHandeni moja najiandaa kuingia interior