Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Wooi[emoji4]Mimi kazi yangu Ni kutoa oil chafu[emoji1]
Nadhani ulitaka kumaanisha RRONDO hizo double R zinazingua wengi...NAELEKEA A50 @PRONDO MWENDO WA SUMMER.View attachment 1826891
Ukitaka ujue Ulaya pazuri ifike summer!NAELEKEA A50 @PRONDO MWENDO WA SUMMER.View attachment 1826891
Pweza na mchuzi wake vikishakuwa digested, utuletee mrejesho wake plsss..[emoji119][emoji119][emoji3][emoji119]Kesho alafjiri naamkia bagamoyo kula pweza na mchuzi wake.. saa za mchana narudi zangu Dar
Rolls Royce ngoja tushinde lottery tulinunue.Nadhani ulitaka kumaanisha RRONDO hizo double R zinazingua wengi...
Binafsi mwaka jana mwishoni ndiyo nimegundua ni RR na si PR..[emoji119][emoji3][emoji3][emoji119]
(Thanks)Kwa hiyo IDENTITY yako Mkuu, you must draw SUPREMACY on long trips by driving with ULTIMATUM speed.
Bon Voyage Mr Jason Borne...
-Kaveli-
Ameen(Thanks)
Arrived dest. 1 safely.
Kwa juu zaidi kuna Mambo cottage ni pazuri pia unaiangalia Lushoto kwa chiniUnaingilia pale Mombo halafu unaanza kupanda mlimani. Ukifika Lushoto town unaendelea kupanda ndio unafika hapo Swiss cottage na kuna ingine inaitwa Muller's lodge ndio imepakana kabisa na kwa late Pres Mkapa.
Hii ID imetusumbua wengi sana kumbe!Nadhani ulitaka kumaanisha RRONDO hizo double R zinazingua wengi...
Binafsi mwaka jana mwishoni ndiyo nimegundua ni RR na si PR..[emoji119][emoji3][emoji3][emoji119]
Litakuwa refu mno..afanye tu kubadilisha kwenye "R" aweke "P".Aongezee tu liwe PRONDO RRONDO
Inabidi nivae mawani kumbe anaitwa RRONDO na siyo PRONDO,BOEING akajaribu kunielewesha nilivyo na kichwa kigumu hata sikumuelewa.Hii ID imetusumbua wengi sana kumbe!
Mimi kila nikimtag nakuta tag inagoma, Dah nimekuja kugundua baadaye sana,tena kupitia uzi wake alioanzisha.
Brother RRONDO fanya ubadilishe jina ujiite tu PRONDO.
[emoji38]Inabidi nivae mawani kumbe anaitwa RRONDO na siyo PRONDO,BOEING akajaribu kunielewesha nilivyo na kichwa kigumu hata sikumuelewa.