Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Short break then mwendo mdundo.
140Km to the 1st destination.
IMG_20210622_195810_303.jpg
 
Nadhani ulitaka kumaanisha RRONDO hizo double R zinazingua wengi...
Binafsi mwaka jana mwishoni ndiyo nimegundua ni RR na si PR..[emoji119][emoji3][emoji3][emoji119]
Hii ID imetusumbua wengi sana kumbe!
Mimi kila nikimtag nakuta tag inagoma, Dah nimekuja kugundua baadaye sana,tena kupitia uzi wake alioanzisha.

Brother RRONDO fanya ubadilishe jina ujiite tu PRONDO.
 
Hii ID imetusumbua wengi sana kumbe!
Mimi kila nikimtag nakuta tag inagoma, Dah nimekuja kugundua baadaye sana,tena kupitia uzi wake alioanzisha.

Brother RRONDO fanya ubadilishe jina ujiite tu PRONDO.
Inabidi nivae mawani kumbe anaitwa RRONDO na siyo PRONDO,BOEING akajaribu kunielewesha nilivyo na kichwa kigumu hata sikumuelewa.
 
Inabidi nivae mawani kumbe anaitwa RRONDO na siyo PRONDO,BOEING akajaribu kunielewesha nilivyo na kichwa kigumu hata sikumuelewa.
[emoji38]
Siyo wewe pekeyako.. hili jina hata mimi lilinisumbua Sana,kwanza nikajua amelock jina lake tusimtag,kila nikimtag wapi inagoma..kumbe mwenye shida ni mimi niliyekosea jina.
 
Back
Top Bottom