ina maana linaozea uwani hapo jamaa haendeshi hata kidogpYaani hata kulinadi zoom au hapa linasumbua, Kadi inapishana sana na Body na mwaka lilipoingia naogopa hata kuweka specification zote, km ni dharura linakodishwa bei safi hata kwa mwezi, naona atapunguza maana miaka inaenda, zima kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sipati picha kupambana na upepo dar to Arusha au Mbeya
kapewa lingine, la watoto lipo na la mama lipo, hawa si wametoka kwenu huko, huku hakuna wanunuzi wala watumiaji mwaka ujao yatashuka tumeshalimia kwa meno ukilihitaji niPM atakuazima au akuuzieina maana linaozea uwani hapo jamaa haendeshi hata kidogp
ina maana linaozea uwani hapo jamaa haendeshi hata kidogp
Hizi gari nazikubali sana kuanzia muundo hadi muungurumo wake! Nikipishana nazo barabarani lazima nigeuze shingo aise!naona wewe ndio umenielewa, nilizungumzia music sound ya L/cruiser tena engine ya 1HZ au HZJ ya piston 6 tu gear ziwe ni za fimbo mlio wake wa engine, Fan na pipe kule nyuma ni raha sana maana kuna Bass No 3 unaingia 4 ukiamalizia na 6 sauti nyororo hulali hata wanyama hawakusogelei
samahani RRONDO nimeingilia mada kwa kuweka biashara ila nilitaka kuelewesha gari ninayoizungumzia ni GX series 200 ni mnyama hasa nachezea 120 km/h km na abiria ila 140 mwenyewe kisahani sigusi kukimaliza lina nguvu sana
cc fabinyo, Bavaria
Hahahahah gari zuri sana hilo...Madalali ndio mabwege wanafelisha sana biasharaView attachment 1656317
huku bei ni masikilizano km wanakulengesha, hilo lilishaondoka
Dar kinachowaharibu Madalali wakidaka gari wanaweka 5m kabisa, wangeweza kubadili Kadi km zile za Serikali kurudi Uraia wangeuza 25m
sasa mtu hasumbuki na sisi nambaA, B au C tunashindana kabisa na kina RRONDO barabarani waliowapa lift ving'ast
Mbali, 2021 tutaingia E2022 tunaingia T....EAA.
Hahahahaaaa kuuumbe leo nimeelewa.me pia,zamani kabla ya kuwa na familia ndio ilikuwa raha yangu...now nikifika 140 naona wanangu na mama chanja kwenye kisahani....naachia mpk 110,basiii....
Yani una pikipiki na unafuata tochi?Kuna bike ukiwa nayo Kwa Sheria zetu hizi za 50kph unamfata mdogo mdogo mtu mwenye gari na mtafika wote salama.
Kuna jamaa watatu walikuwa na mabike yae makubwa tukaamsha nao Dar-DodomaKuna Safety Gear za kuendeshea pikipiki kuanzia Helmet,Gloves,Jacket,Tracks na Viatu. Sio kama tunavyoendesha kienyeji hapa Bongo.
Yote ya yote kuendesha pikipiki safari ndefu inahitaji utimamu wa mwili(Physical Fit) na utulivu wa akili.
Hata uwe na bike ya kisasa kama mwili hauko timamu ukiendesha safari ya Dar-Tanga kesho ukiamka mwili unakuwa umechoka kama ulilima ekari 100. Kama mkono, tumbo Lina nyama uzembe kesho ukiamka unahisi maumivu Tu.
Napenda sana kuzurura najiona nikipambana niingie kwenye Mabus,Unapenda adventure
SawaStay tuned...
Watu wanazifanyia reservations.Hivi unaweza ukaomba upewe plate number fulani ambayo bado haijachukuliwa
Sema siku hizi kuna intelligent beams.Last year usiku nilikuwa napiga hadi 180kph ila ukipishana na gari huoni mita 10 mbele for few seconds. Usiku hatari sana.
New RR beam unaona 500m. Pia Navara mpya hizi zina taa Kali sana