Utanipick up hapa Dotchi. ๐
-Kaveli-
Jiran Kasie naomba urudie kutuma tena hii vocha, maana wakati unatuma mimi sikuwepo online..[emoji38]
Ninatumia halotel
Yes mwenye line ya halotel ni zawadi yao hiyo. [emoji7][emoji7]Ooh okay, basi ataipata mwenye na line ya Halotel.
Usinisahau bibi,Aameeen,
Hii ni spesheli kwa wana road trip wa JF wenye kutumia line ya Halotel.
[emoji1635].
Siku nyingine upako ukishuka itakuwa kwa wenye line za Airtel.
Usinisahau bibi,
Yes bibi.Na wewe ni Airtel?
[emoji1][emoji1][emoji13]sikuwa online, nakuja nakutana na mzigo wa maana.....Sasa hivi nitakuwa nakunyemelea kwa karibh zaidi....Aaahahahahaa jirani unakwama wapii...?
Imepata mtu kimya kimya...?
Halafu nahisi mtu kachukua namba hapa kampa mtu ambae hata hayupo JF ili atest kama kweli ni vocha.
Usijali jirani, iko siku yako.
[emoji1][emoji1][emoji13]sikuwa online, nakuja nakutana na mzigo wa maana.....Sasa hivi nitakuwa nakunyemelea kwa karibh zaidi....
Irudiwe irudiwe mimi sikuwepoSpesheli kwa itayemfaa
View attachment 1831988
#4193 45920 4688
Kwa atayeipata asiache kutupia roadtrip pics.
Muwe na road trips njema, usalama kwanza.
Happy Sunday ๐.
๐๐
Irudiwe irudiwe mimi sikuwepo
Irudiwe irudiwe mimi sikuwepo
Panaelekeana na The Lawns..huko huko Lushoto..pako vizuri sana. Hali ya hewa ndio usiseme
Safi hata nafsi inatulia hapo asee ๐๐Panaelekeana na The Lawns..huko huko Lushoto..pako vizuri sana. Hali ya hewa ndio usiseme